Jipatie CCTV COMPLETE package camera KIT
Kutoka kwetu gharama zetu ni nafuu na mafundi wa uhakika
4CCTV camera kit kwa 450000tu
8CCTV camera kit kwa 750000tu
Tupigie 0715473462
Located makumbusho...
Habari zenu wakuu.
Naombeni kujua bei ya conteina la futi 40 kwa hapa Dar. Kama kuna mtu analo au anamjua mtu yeyote Mwenye nalo na anauza naomba nisaidiwe kupata namna ya mawasiliano ili niweza...
Waku samahani nimetafta mafuta ya kilainishi weeee(ky jelly)pharmacy zote cjapata.
Sasa anayeyajua mafta mengine hodari kwa kulainisha mfano wa hayo anijuze wakuu ili nipate kufanikisha zoezi...
Habari zenu wadau!
Natafuta Nyumba Yenye Masterbedroom, Sitting room, kitchen iwe ndani ya Fensi maeneo ya Kuanzia Tegeta kwa ndevu hadi Mbezi African lakini iwe karibu na Barabara ya New...
Njiwa taus ni njiwa kutoka nje ya nchi usa na arabian country njiwa hawa ni crossing ya taus na njiwa hawana magonjwa rahisi kuwafuga wanapendeza lengo la ni urembo thamani yake mpaka laki tatu...
As Salaam alaykum ndugu zangu.
Tegemeo langu mko katika hali njema katika mwezi huu mtukufu ya ramadhani.
Mara kwa mara nina fikiri kuwekeza pesa kwenye miradi mbalimbali lakini nina breki kubwa...
Habari zenu ndugu na majaa, mimi nauza kiwanja changu kipo Kigamboni Mwongozo kina ukubwa wa eneo ni sqm 1345 kipo sehemu nzuri pia ni karibu na bahari, umbali kutoka baharini mpaka kwenye kiwanja...
Guys mwenye kuhitaji usafiri kwa bei ya chee. Gari ipo musoma mjini, unaweza kunitafuta kwa namba 0782183441
Gari nauza kwa tsh 3,500,000/= fixed, hakuna maelewano. Gari inatembea haina tatizo...
SOLD.
Acer Chromebook
Screen size: 15.6"
RAM: 2GB
HDD:16 GB can be extended with an SD card
Processor: 1.60GHz
Battery : More than 10 hours
SD card Port
USB port
Very Slim
SOLD
MIZANI au SCALE inayotumika kupimia uzito wa madini ya dhahabu na silver na madini mengineyo.
* Inapima kuanzia uzito wa gram 1 mpaka kg 5.
* Mashine ni mpya kwenye waraka wake na inatumia betri...
Poleni kwa majukumu wakuu
Nimefungua akaunti NMB chapchap, nimeenda kwa wakala leo kuweka pesa wameniambia huweza kuweka pesa kwa namba ya simu na wakati wamenipa namba ya simu iwe kama akaunti...
Habari
Naprint tshirts zenye ujumbe wowote za ofisini, kikundi, birthday, msiba nakadhalika. Tshirts za Quality nzuri na Bei nzuri pia
Namba ya simu
0682-820202
Elizabeth
Asanteni
Nauza kiwanja kikubwa na kizuri kilichopo karibu kabisa na barabara ya mtaa.Kiwanja kina ukubwa wa nusu hekari.Kipo KIGAMBONI uvumba.Bei ni mil 35 na maelewano yapo.Kama umependa njoo 0786167143...
Nauza Eneo lenye nyumba mbili za kuishi..Eneo liko KIGAMBONI kisiwani .Nyumba zote zimeisha na zina watu wanaishi.Eneo lililojengwa nyumba lina ukubwa wa robo hekari.Bei ni mil 25 tu na maelewano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.