Naombeni msaada kwa anayefahamu ukumbi au bustani nzuri ya kufanyia Harusi dar es salaam, yenye uwezo wa kuingiza watu 450-500 (joint wedding). Isiwe na masharti sana ya kuchukua kila kitu hapo...
Kama unasumbuliwa na MBU na WADUDU wote wanaoruka nyumbani kwako suluhisho limepatikana.
* Ni kifaa kinachotumia umeme kidogo sana, unapokiwasha taa zinazowaka kwenye kifaa hicho huwavutia wadudu...
Kunaitajika chumba kimoja na Sebule maeneo ya Buguruni.
Maelezo muhimu:
1.nyumba iwe kwenye mazingira mazuri.
2.nyumba isiwe na wapangaji wengi.
3. Kuwe na maji ndani na umeme au kama akuna maji...
Tunauza sembe na Dona kwa ujazo wa kilo 25(ambao ndo ujazo wa juu na kilo 50 Ambao ndo ujazo wa chini)
Bei zetu ni poa na bei zinabadilika kutokana na misimu.
Kwa sas sembe kg 25 ni Tsh 25000/=...
Alphard ya mwaka 2003
Cc fuel 2360
Mileage distance 70,000km
Right hand stearing
Automatic Transmission
Color........ pearl white
Bei ni Tsh.15.9 milioni.
Tunauza vifaa vya kujenga green house kama vile green house profile;green house polythene;insect net;shed net
Tunauza pond liner au dam liner kwa ajili ya kujengea mabwawa
Tunauza vifaa vya...
Habari wakuu. Naomba kufahamu je mpunga wameanza kuvuna huko Mbarali? Vipi kuhusu bei ya gunia la mpunga huko kwa anaye fahamu kwa kipindi hiki. Shukran.
Kampuni imesajiliwa inauzwa kwa wale wenye uhitaji wa kununua kampuni badala ya kusajili. Maelezo yake ni kama ifuatavyo
1. Aina ya kampuni: clearing and forwading
2. Imesajiliwa: Jamhuri ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.