Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kama habari inavyo jieleza kwa anaye hitaji laini ya biashara ya mpesa aje pm
0 Reactions
6 Replies
609 Views
Samsung galaxy s7 edge inauzwa Imetumika miezi miwili Ram 4gb Internal memory 32gb Colour gold Bei laki tano [500,000] Eneo- Dar es salaam Contact- 0712518770
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nina sungura zaidi ya 150 na bata 100. Natafuta wateja. Nipo Singida. 0752011156
0 Reactions
5 Replies
2K Views
tunauza mabata mzinga aina ni madume mazur kwa mbegu Hata kwa kitoweo pia mahaala ni KIBAMBA SHULE- DAR ES SALAAM KWA mawasiliano zaid tupigie kwa 0755730192 au kwa whtsup tuchek kwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
TYPE :TECNO CAMON CX STORAGE:32GB CAMERA QUALITY:16MP KOTE MBELE NA NYUMA ANDROID VERSION:7.0 RAM:2GB (KUSTACK SAHAU) PRICE:230,000TSH CONTACT:0752156818 KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Am Looking for professional web and applications developers based in Dar Es Salaam. If interested please reach me; Tel: +255766640505
0 Reactions
0 Replies
303 Views
Wakuu naombeni msaada wa kunijulisha mahali au duka linalouza tv used kwa mkoa wa arusha. Thanx
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba hii ya ksasa kqbisa ipo Gongolamboto-Ulongoni. Ipo centre kabisa na ni mwendo wa dakika 10 kwa bodaboda mpaka stand ya daladala Gongolamboto. ~Ina vyumba 3 na 1 ni master bedroom. ~Dinning...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Msaada bei ya tani kwa kilimo cha alizeti tafadhali wadau Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naam wanajamvi sasa safari za moja kwa moja toka Tanzania mpaka India zimeiva kupitia ndege yako pendwa za Air Tanzania, Ni kuanzia Tarehe 17 July safari itaanza rasmi kwa siku za Jumatano, Ijumaa...
7 Reactions
46 Replies
8K Views
Hello, natafuta gari kilipa kwa installment. TZS 450K kila mwezi. PM plz kama uko interested.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Poleni na majukumu Nilikuwa Nataka kujua Gharama za Usafir n'a ushuru wa forodha pâle bandarini Ikiwa nitaagiza Gari iliyozid miaka 10 Toka itengenezwe Kutoka japan (Nissan civilian)
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau? Kuna fremu nzuri inapangishwa katikati ya mji wa morogoro. Opposite na Vodashop morogoro. Ni fremu ya nne kushoto mwa exim bank. Kwa maulizo piga no. 0744537265. Karibuni.
0 Reactions
2 Replies
802 Views
msaada : nina tsh laki 2.5 nilipenda kujua ni duka gan la laptop kwa kariakoo ambapo naweza pata pc ya aina yeyote kulingana na bajeti yangu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari zenu wadau.. Kuna PS3 game ambayo ni used inauzwa... iko full packaged na ina padi zake mbili wireless.. Imetumika kwa muda wa miezI 6 tu tangu kununuliwa mpya kutoka dukani.. yenywe bado...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Umoja wa Ulaya (European Union) wametoa wito kwa ajili ya kuwasilisha maandiko ya miradi (Concept Notes) kwa Asasi za Kirai nchini Tanzania. Lengo mama (Overall Objective ) la E.U katika wito...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Je umewahi kumtembelea Rafiki, Jirani, Ndugu au Jamaa ukavutiwa na uzuri wa design ya Sebule yake au nyumba yake?! Na ukatamani nyumba yako ingekuwa imedizainiwa vizuri kama ya mwenyeji wako...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Ni rafiki yangu wa mda kama miezi nane iliyopita nilimlea tokea akiwa mdogo lakini sasa inabidi nimuuze tu maana hatuna maelewano mazuri Ni paka mpenda bata au starehe [emoji116] Pia...
11 Reactions
78 Replies
6K Views
Back
Top Bottom