Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari zenu wanajukwaa, Hiyo buti inauzwa ni size 45 na haijawah valiwa kabisa (Mpya)..! Niko Dar es salaam kwa yeyote atakae kuwa interested Price : 50,000/=
1 Reactions
18 Replies
6K Views
* CARDS FANTASY * Jipatie :- *Business Cards* *Membership Guards* *Vitambulisho Vya Plastic {Pvc}* *Name Tags, Door Tags na Personal Tags* *Certificates Designing and Printing* *Social...
1 Reactions
72 Replies
50K Views
Habari wakuu, nauza viti viwili vya mtumba vya salon ya kiume, bei ni sh. 240000(bei inaweza kupungua)kwa kila kimoja. Mwenye uhitaji ani pm tufanye biashara.
0 Reactions
4 Replies
6K Views
kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji kununua ps2 mpya bei maelewanoo inahitajika harakaa sana....tafadhari
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu Natafta mbwa either mdogo Awe either German Shepherd Au Rottweiler
1 Reactions
46 Replies
15K Views
*VATY LEACHING GOLD PLANT FOR SALE:* LOCATION: GEITA REGION TANZANIA. HAS ABOUT 1MILLION TAILING ORE WITH ~1.5gAu/ton. ( commenced its operations on june 2010) SUITABLE FOR CIP /CIL PLANT...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kuna mtu yoyote anajua bei ya LULU au PEARL kwa soko la Tanzania unaweza Ku share na Mimi tafadhari.... Pia ni muhimu kujua kama biashara inafanyika kwa Gram, kwa Millimeters au per stone...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Wakuu salam. Nahitaji pikipiki Boxer kwa mkataba. Si lazima iwe mpya, hata kama imetumika,ila iwe katika hali nzuri. Kama inahitaji matengenezo,tutazungumza. Napatikana mabibo, Dar es salaam...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu jamn nashida na chumba maeneo ya tank bovu naombeni Masada wenu tafadhar 0752992354
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwa hali hii maisha yataenda.. Gusa link hii chin [emoji1427][emoji1427][emoji1427] http://MyWorkingHour.com/?userid=938027 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Nauza laptop sonny Vaio VPCEL 22FX Ram - 8 Gb Hard disk - 300 Gb Processor - Amd E-540 APU with Radion hd Battery 2 hours use Better gaming experience including fifa 2019, Need for speed rivals...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna mashamba ukubwa kuanzia ekari 1, kwa being ya tsh 1M hapa Dodoma, na kiwanja kikubwa 70/46 kiko Veyula. Vyote havijapimwa. Kwa mwenye nia ya kweli tuwasiliane 0658609050 Sent using Jamii...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
VIWANJA VINAUZWA KIBAHA(KWA MFIPA) 20×20sqm BEI NI TSH.800,000/= TU. ~VIWANJA NI VIZURI SANA KWA MAKAZI ~HUDUMA ZOTE ZIPO IKIWA NI PAMOJA NA BARABARA. ~VIPO KM 2.5 TOKA BARABARA KUU YA DAR-MORO...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Natafuta wateja wa nazi!!!!nazi ni nzur sana za jumla jumla nitafute hapa 0717190277
1 Reactions
3 Replies
902 Views
Wakuu kwema nilikuwa nahitaji kujua bei ya kiwandani au jumla ya hvyoo vifaa hapo chini nilikuwa nataka kufungua kihardware kwa vitu vifuatavyo Square Pipe 1.5 inch 1 inch pamoja na robo tatu...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Please naitaji room, iwe nzuri & mazingira mazuri..... mwenye nayo please... naomba unipe namba zako nikutafute haraka .... nipo online 247
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba iko mbezi jirani na Giraffe hotel, mtaa wa pili kutoka lami..vyumba 4 vyote ni self, jiko nk Size plot 1600 sqm Bei Tsh. 650m na maongezi yapo Mawasiliano zaidi 0756060183 Sent using...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
NSUNGWI E-LEARNING ni Taasisi ambayo inahusika na utoaji Elimu ya sekondari (Form 1-4) kwa njia ya mtandao wa Intaneti na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Multimedia Technologies). Masomo...
0 Reactions
0 Replies
466 Views
Wakuu salam. Iwe Boxer au Tvs na aina nyingine pia.Naihitaji kwa mkataba kama wafanyavyo bodaboda kwa ajili ya shughuli zangu. Hata kama imetumika,ila iwe katika hali nzuri. Kama inahitaji...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Back
Top Bottom