Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu kwema. Nahitaji gari ya kukodisha kuanzia tarehe 03 hadi 07 June 2019. Gari iwe na uwezo wa kubeba watu sita. Mahali ni Dodoma. Najua baadhi yenu mnazo hizi gari. Njoo inbox tuongee.
0 Reactions
1 Replies
793 Views
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea nafasi za masomo ya muda mrefu katika fani ya Sayansi kutoka Serikali ya Misri. Masomo hayo ambayo ni kwa ngazi ya Shahada ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Year 1998 Transmission automatic Ac Well maintained no accident record Location-dar es salaam Price 9.5 mil Contact 0676462693
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Shamba linauzwa mkoa wa pwani wilaya ya mkulanga kijiji kinaitwa pubu kibudi. Eneo ni hekari 3 ni eneo la tambalare kabisa.kila hekari ni millioni moja( 1 million). Hakuna dalali mi mwenyewe ndio...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Moja kati ya watoto ambao mzee wetu kapata hasara basi mmoja wapo ni huyu, ana miaka 60 lakini hapevuki alafu anaishi kwa njaa, ni aibu mzee kama huyu kuishi kwa kutegemea mrija wa ulaji kutoka...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wandugu habar,yapata mwaka sasa niliandika nahitaji machine ya kutotoresha vifaranga nashukuru nilipata,kupitia humu jf,sasa nataka machine ya kutengeneza vyakula vya kuku anaefaham watengenezaji...
0 Reactions
3 Replies
913 Views
KARIBU SITTA ELECTRONICS MAENEO YA GOBA TUNATOA DARASA LA KUFUNDISHA UFUNDI WA KUUNDA BOOSTER AU KU REPAIR, PIA INVERTER, GUITAR, KEYBOARD NK
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wadau habari za leo.. Nimekwa nahitaji pesa ya faster. Hivyo nauza kiwanja changu. Kipo Mwanza Maeneo ya Kishiri, kimepimwa kwa upimaji shirikishi ila bicon bado hawajakamilisha kutuwekewa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada wana jf naomba msaada wa kujua samsung original kwa dar ni sehemu gani . naomba mwenyekujua ananambie
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Habari zenu humu ndani kwa wanajamii wezangu ningependa kujuwa wap nitapata zao la oregano kwa anayejuwa nahitaji kwa wingi kwa mawasiliano zaid anitafute kwa whataspp 0685000606 or sms 0767000606
1 Reactions
1 Replies
485 Views
Usipange kukosa jamaa wanapiga Gospel Reggae kali sana pamoja na Cover za gospels nyingine in Reggae rhythms. Usikose ni pale UPANGA CCC. Hawa jamaa wanajua kinoma, moja ya kitu kinanifurahisha...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ningependa kujua kwa anayefahamu zinakopatikana mbegu za chia (Chia Seeds) kwa Mkoa wa Morogoro.Anijuze zinapatikana wapi, kwa gharama gani n.k.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Je wewe ni mfugaji wa kuku iwe wa chotara au wa kienyeji hakuna mfugaji anaefuga kuku ili apate hasara sio kuku Wa mayai au wa nyama wanaoleta faida Bali hata kuku Wa kienyeji wanafaida kubwa sana...
2 Reactions
22 Replies
17K Views
Kama kichwa hapo juu kinavyo eleza nafuta wateja wa jumla nitakao kuwa nawauzia sabuni kutoka kigoma kwa bei ya jumla kwa bei poa. Sabuni hizi hutengenezwa kigoma ni nzuri kwa kuogea huondoa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
SAFIRI KIFALME, Kwa huduma za uhakika kwa usafirishaji abiria na mizigo, kupeleka watoto shule n.k, Tafadhali tupigie 0672 706 263, tupo Dar Es Salaam Temeke, Bei ni maelewano na ni nafuu sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu Assalam alykum. Mimi ni Fundi wa Kampuni ya Estim construction ila kwa sasa niko Zanzibar Nimefanya kazi kwenye majengo mengi Dar e Ssalaam yaliyojengwa na Kampuni ya Estim, kama Viva Tower...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Hp Pavilion Processor: Intel core i5 8th generation, Ram 12GB, Hdd 1TB, Graphics: Intel uhd 6GB, Display 15.6”, Screen touch, Clean condition. Price 1.1milion +255714978668 && +255764062505
0 Reactions
0 Replies
598 Views
Jamani Ndio vyuma kubana auvkitu gani? Biashara haitoki Kama xamani.maguboy legesa kidogo baba twafwaaaa
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Wakuu Nahitaji show ya pale kwenye Dashboard mpaka kwenye redio ya Carina Ti
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom