Monitor flat screen ya dell kwa elfu 80 tu,
Friji aina ya Zec inagandisha vizur tu inapatikana kwa laki moja na elfu ishirin,
Samsung Galaxy S6 edge plus ina miezi mi 3 toka imetoka dukani kwa...
Nimeingia Dukani kwa mangi kununua mo energy mangi akanipa kinywaji kimeandikwa mo xtra nikamwambie naitaji mo energy .. akaniambia hii ndo Mpya sasa nainanguvu mara mbili kuliko mo energy ya...
Wakuu habari ya Jumapili,
Mimi ni mjasiriamali yaani enterpretenuar
Nahitaji kujua mtaa, au eneo zuri la kufungua mgahawa sinza, kulingana na wingi na hadhi ya watu Wanaishi mitaa hiyoo...
Kwa anaye fahamu sehumu ambapo shamba linauzwa kwa Morogoro pawe rahisi kufikika na bei iwe nafuu anijuze 0758022953
Sent using Jamii Forums mobile app
Dstv-Jiunge na Dstv kwa kununua dekoda na dish kwa sh.99,000 na unufaike na ofa ya kifurushi mwezi 1 buree wa kifurushi cha compact,lakini kwa ongezeko la sh.20,000 utaweza kuletewa mpaka nyumbani...
HABARINI ZENU, NATAFUTA TOYOTA WISH USED HAPA TZ IWE KWENYE CONDITION NZURI IS ISIWE NA HISTORIA YA AJALI NA RANGI ISIWE NYEUPE,
PIA KM ZIKIWA CHINI YA 100K ITAKUA POA ZAIDI, ISIWE IMERUDIWA RANGI...
Dear Valued Customer,
Greetings from Right Click Solutions Tanzania.
It's time to increase a security in your Office & Organization in order to protect staff cars, office assents, Customers cars...
Brand: HP
Comes with a FREE LAPTOP BACKPACK BAG
SPECIFICATION
RAM: 4GB
Processor: Core i3
Storage: 1000GB/1TB
Scree size: 16 inch
Fingerprints scanner
Wide surround bass Speakers
Comes with...
Napangisha vyumba vya ofisi *(office to let)*
Katikati ya mji hapa *Dodoma* karibu na *chef asili*
Njoo tukupangishe ufungue ofisi yako *Idodomya kuswanuu*
Agweeee
0715170553
Email...
MOST WANTED SAIDIA KUSHARE Kwayeyote anayemfahamu huyu jamaa atoe taarifa kituo chochote cha polisi kilicho karibu naye au apige simu kwenda namba hii 0758555076. Amefanya tukio la wizi na utapeli...
Wandugu tumepotelewa na dada huyu, katoka nyumbani (Matejoo kwa Giriki) tangu siku ya Juma tano tarehe 24/04/2019. Tumemtafuta kila mahali bila mafanikio. Tumeambiwa alionekana maeneo ya...
Kichwa kinajieleza vizuri na nimeandika kwa herufi kubwa,Natafuta coaster ya kununua isiwe box body tu
Offer Yangu 20 million Bei itaongezeka kutokana na condition ya gari ila offer iliopo ni...
Hakuna longo longo Wala utapeli katika hili sawala. Kama unahitaji mbao kutoka njombe saizi yoyote. Naomba tuwasiliane kwa namba 0672-031-066. Kwa walio serious tu.Asanteni.
Watu wengi wamekuwa na muamko wa kufuga samaki lakini changamoto kubwa imekuwa mazingira ya kufugia. Sababu ufugaji wa samaki wengi wamekuwa wakijua unahitaji eneo kubwa na Maji mengi sana.
Ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.