Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari za jioni wana JF, Naomba kwa yeyote anaefahamu maduka or agent wa vinanda (piano) kwa morogoro naomba anijulishe.
1 Reactions
1 Replies
890 Views
Salaam, 1. Beach plot inapatikana kigamboni, maeneo ya changani beach. (upande wa kushoto baada ya kumaliza avec town) 2. Umbali kutoka ferry Ni km 20 mpaka kwenye plot 3. Kiwanja ni cha tatu...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Upatikanaji wa pumba laini za mpunga kwa bei nzuri Weka oda kwa mawasiliano 0787321373
0 Reactions
0 Replies
673 Views
Habari, Nawauza kuku jogoo aina ya kuroler (47) kwa bei ya 15,000/= nawauza wote kwa pamoja. Sababu ya kuu ni kupunguza jogoo ili niwe na ratio nzuri ya jogoo na tetea. Mahali walipo ni Mbeya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
TOSHIBA LAPTOP HDD 500 GB RAM 4 GB IMETUMIKA WEEK 3 HAINA TATIZO LOLOTE BEI 500,000 location: ubungo - dar es salaam nichek 0753 330717
0 Reactions
4 Replies
995 Views
Hello guys nina shida ya haraka na cash.....so nauza tv yangu kutoka UK. Nauza kwa bei poa sana 250k tu.Ina ports za HDMI,VGA,SCART 2,AV.Ni sale ya haraka.....interested party nicheki kwa 0763969066
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Teknolojia inazidi kwenda kasi,Sasa unaweza itumia tv yako kama Smartphone yako,kwa kifaa cha Adapter miracast (Anycast) kwa Tsh.40,000/= tu,ni wireless display mpaka kwenye Tv yako kwa umbali wa...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Imenunuliwa tayari
0 Reactions
5 Replies
2K Views
  • Closed
SOLD! SOLD! SOLD! SOLD! Brand: ASUS RAM: 12GB Processor: Core i5 6th Generation HDD: 1000GB/1TB 64Bit Battery life: 4hrs Graphics: Intel HD Graphics 6GB Total Memory Nvidia Gefore 940M 8GB Total...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
wakuu kama kuna mtu analijua dula la mobi sales anielekeze lilipo kuna mahitaji nataka nikapate pale ila sijui lilipo kwa hapa Dar
0 Reactions
2 Replies
800 Views
Je, unahangaika kujua njia za kupata mtaji? Kitabu cha MTAJI ndiyo jibu lako. Pata nakala ebook(pdf) kwa sh.10,000 tu. Wasiliana na 》》+255674502925 Hii OFA ni ya muda mfupi.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, nahitaji nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala na sebule maeneo ya Arusha mjini. Bajeti haizidi 200,000/= tshs. . ...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Vifaa nilivyoorodhesha hapo juu vinauzwa. Ni vipya kimatumizi, pasi ina mwezi 1, mtungi una gas, umechemsha maji mara 2 tu, na feni imetumika miezi 2 tu-brand Mr UK. Pasi ni...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Kwanini uhangaike kupiga horn na kusubiri kufunguliwa geti? Kwanini uhangaike kushuka kwenye gari yako ili ufungue geti mwenyewe kisha uingie tena kwenye gari ili ulitoe gari nje, kisha ushuke...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeona matangazo mbalimbli ya kupiga marufuku matumizi ya mifuko ya nailoni (malboro) kutoka kwa viongozi wa serikali. Huku kukiwa na vifungo, faini au vyote kwa pamoja kwa mtu au taasisi itakayo...
3 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari za majukumu! Nauza salon ya kiume ikiwa na kila kitu chake ndani kama vinavyoonekana katika picha. Hiyo salon ipo maeneo ya Banana kituoni . Bei ni 6,000,000/= maongezi yapo. Ipo kwenye...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Naomba KUJUA AU KUPATA USHAURI MZURI ,NI MACHINE IPI NZURI KWAAJIRI YA KUFANYIA MAUZO YA LUKU,NA HUDUMA ZA VING'AMUZI? Tafadhari mwenye uelewa tupeane ushauri.
0 Reactions
0 Replies
431 Views
Habarini wakuu ninauza google pixel kwa wanaoifahamu wanajua ni simu kali namna gani Ram 4 gb Internal 32 gb Camera 12 mp inasupport night sight camera, ina portrait mode kali sana kama iphone tu...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji container mbili za 40ft pesa ninayo cash .njoo na ofa yako NB.nahitaji leo 9/5 /2019
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom