Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau! Natafta chumba na sebure maeneo ya Ubungo au mabibo, Kama unajua kilipo tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Naomba msaada kwa mtu yeyote anayefahamu link/website inayowaunganisha wanunuzi na wauzaji wa mazao ya kilimo duniani. Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF, gari aina ya Raum namba T567DPV inauzwa shillingi millioni 9 na laki nane. Gari ipo Kitunda Dar es salaam. Gari haijawahi kupata ajari wala haijawahi kurudiwa kupakwa rangi wala...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Karibu nikuuzie Sold state Disk SSD 256GB. Goes for tsh. 150,000/=. Condition: brand new. Contact:- +255714978668 / +255764062505 Njooo nikuuzie.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu natafuta Bamba la mbele la Toyota Allion na bei yake .
0 Reactions
4 Replies
1K Views
e-pharmacy ni mfumo wa komputa dukani kwako utakaounganishwa na aplikesheni ya simu yako kupata ripoti ya mauzu ya siku, wiki hata mwezi, ukiwa popote pale. Utaweza kuhifadhi taarifa za duka lako...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu nina offer ya 7ml natafuta Gari. Spacio/rush/Noah/rav4/xtrail moja wapo kati ya aina hizo
0 Reactions
4 Replies
911 Views
Waungwana mashine ya selcom inauzwa bei ni maelewano na ipi katika hali nzuri. Ina adapter yake pamoja na mkataba wa manunuzi. Aliye tayari anicheki kwa namba 0719 585236
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta mtu anayeuza strawberry yenye quality nzuri kwa jumla kutoka Iringa na anaweza kusafirisha Dar Es salaam.
1 Reactions
5 Replies
2K Views
habari wana group. nahitajia tray za mayai za karatasi (sio plastic) 5000. nipo dar 0654567777
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Nahitaji kufahamishwa sehemu wanapouza caustic soda ya kilo 20/25 kg kwa hapa Dar. Nitashukuru kwa msaada
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari Karibuni kwa huduma zangu za printing, natengeneza kadi za sherehe mbalimbali, keki, na kupamba kwenye sherehe mbalimbali, pia kwa huduma za kuprintiwa tshirts, caps, mug, magazine...
0 Reactions
1 Replies
838 Views
habari za leo. kiwanja kinapatikana buyuni upande ambao kuna kituo cha mafuta cha Sheratoni Kiwanja kina ukubwa wa sqm 1,000 ambayo ni 20m upana na 50m urefu. Eneo bado halijapimwa Bei ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari naomba nikusaidie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo ni rahisi sana andaa document copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba Leseni ya biashara ,2. TIN no 3...
0 Reactions
0 Replies
895 Views
Msaada wa wapi na bei gani naweza pata universal display ya flat screen yangu ya Samsung iliyopasuka.
0 Reactions
0 Replies
449 Views
Karibu upate Massage ya kumtoa nyoka nyavuni. Tupo Dar -Sinza Mori bei 20,000/= ulizia Mariam 0676069763
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Habari zenu. wanajamvi, . . . .Kama kichwa tajwa kinavyojieleza hapo juu fridge ndogo used iliyotumika kwa mwaka mmoja inauzwa kwa bei poa, ufanyaji kaz wake ni bora kupita maelezo... . . BEI ...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Zurich automechs, kwa mahitaji ya kunyoosha body na kupiga rangi kisasa za magari wasiliana nasi kwa 0718858301, tunapatikana Tabata Chang'ombe. Karibu sana bei zetu ni nafuu.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana jf ninashida na speaker za aina kama hizi Hata zikipatikana zinazofanana na kama hizi kubwa zaidi au ndogo Hata kama nitofauti ila nahitaji zenye kuwa na amprifire moja kwa moja new or...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
EPIC ORGANIC FERTILIZER Epic Organic Fertilizer is 100% organic soil improver and fertilizer based on nutrients from ecologically clean area of Philippine. Epic Organic Fertilizer is unique...
0 Reactions
0 Replies
433 Views
Back
Top Bottom