Orijino XK headphones. Beat nzuri iliyochujwa kiufanisi wa hali ya juu. Fm radio na highly magnified mic kuongelea. Long range of Bluetooth and so on. Serious buyer nichek DM. Napatikana Dar...
Habari wadau,
Natafuta gari ya mkopo, kwa kulipia kidogo kidogo gari budget 4,000,000/= aina ya gari suzuki jimny wide au escudo namba sijali saana hata A poa ila gari iwe nzima tuh asante...
*dont be deceived there is only one authorised seller of original fengli cotton tshirt at factory price in dar es laam oneline traders only*
100% cotton fabrics
hazivutik
hazipauk
bei ya kiwandan...
Wakaazi wa Igunga na viunga vyake napenda kuwatangazia soko LA kuku wa kienyeji na chotara linapatikana. Hii ni kwa kuku wa miezi 2 - 3 bei si chini ya 5000 na maongezi yapo.
Njoo PM nikupe namba...
Hizi ni paper bags to use instead of plastic bags kwa wafanyabiashara wote katika utoaji huduma kwa wateja.mifuko hii ni imara kabsa kama inavoonekana kwnye picha.Tunafanya delivery popote ulipo...
Kwa mlioko dar es salaam, bukoba mjini , dodoma, mbeya. Kuna Mtanzania mzalendo anatafuta nyumba ya kununua kwa ajili ya kuishi.
Inaweza kuwa inakaribia kuisha kujengwa au ipo kamili
Dau ...
Nahitaji playstation 2 kuazima kipindi cha mwez mzima mwez wa 6. iwe na padi 1 inatosha, na mchezo wa mpira pekee. nina uaminifu wa hali ya juu. na mmiliki ataweza kuja kupaona napoishi. kwa...
Wadau natafuta kioo cha sony flat cha kwangu ni kizima ila wino wake ndani umeisha nimeplka kwa fundi anasema kioo kimekufa ingawa hakijapasuka wala kukwaruzika popote mwenye nacho ani pm..sony...
Wanajukwaa wenzangu najua hili jukwaa lina watu wengi sana mimi nafuga kuku wa mayai ya kienyeji bado natafta soko kama ww unahitaji au unaeza ukaniunganisha na mtu anayeweza kununua naomba...
Wale waliokuwa wanatafuta King'amuzi cha star times cha Antenna (full antenna ya Miba na king'amuzi) hicho hapo sasa..
Free local channels.
Weka offer yako ili nikufikishie popote free kwa walio...
A Salam wakuu poleni Na swaumu
Km kichwa kinavyojieleza naombeni kabati la mbao la Nguo na Fridge mlango mmoja Ziwe in good condition kwny kabati hapo hata ikiwa mchina tunaweza kuzungumza vzr...
Mifugo Tz inawashukuru sana SUGECO kwa kuratibu mafunzo ya kwa #vijana yalio fadhiliwa na FAO(Food and Agriculture Organization)
Tunawashukuru kwa kutambua uwepo wetu Mifugo Tz na kutupa dhamana...
Ram - 4GB
Internal - 64Gb
Battery- 4000 MAH
fingerprint and Face unlock-yes
Used approximately - 3 months
Price starting 400k negotiable (No exchange deal)
Condition - excellent
interested...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.