Hizi mashine sijui zinaiitwaje Mimi najuwa mixer mashie, kwa wapishi wa keki wanazifahamu sana basi mashine inauzwa laki 320.000 tunapatikana kariakoo Dar es salaam nakushauri kama upo Dar na...
Inauzwa nyumba ya kisasa
Location:BUNJU A KWA BAHARIA
Price:90m maongezi yapo.
Imepimwa na ina hati.
Title deed.
3bedroom
1masterbedroom
Dining,public toilet,kitchen,
Maji na umeme vipo
IPO...
A Robust Hospital Management System for Hospitals, Clinics, Pharmacies and Laboratories.
So what we are, real?
An integrated Information System for managing all ways of a hospital’s operations...
Kuna aina ya mawe yanatumika kutengenezea terrazo yanaitwa marble chips, nilikua naomba kama kuna mtu anafaham yanapouzwa maeneo karibu na kimara, anisaidie na bei yake.
Sent using Jamii Forums...
Naombeni ushauri juu ya huu mzigo una gram 100 ,zote zinazidi gram 3 na kubwa ina gram 22,Naingia sokoni mnanishauri niombe bei gani kwa gram inayoendana na soko halisi.kwa pink na green .
Tunauza na kufunga mitambo ya ulinzi na usalama ya kisasa na yenye standard za ubora wa kimataifa kama British Security Industry Association.
Mitambo yetu ni full automatic yani ukiwashwa...
Jipatie subwoofer ya kijanja #pinetch yenye spika 3 kwa bei ya laki195,000 inatumia kilakitu Bluetooth, flash, memorycard, DC na Ac , rimont yaaan full kujiachia PIGA 0677423349 warrant mwaka 1...
Habari za asubuhi wana jf,natafuta nyumba ya kupanga arusha kati ya sakina au morombo inaitajika ndan ya wiki hii yaan( single selfu-chumba,sebule,jiko,choo na maji na umeme visiwe vya kushea)...
Nahitaji vvt-i sensor mpya ya gari aina ya toyota mark2 GX110,nimeulizia moshi hakuna vvt-i mpya na nimejaribu kufunga used lakini baada ya kutembelea km50 taa ya check engine ikawaka tena na kila...
HABARI WANA JF,
OFFER! OFFER! OFFER! OFFER!
BURE KABISA WAHI SASA
Hii ni kwa wote watakaohitaji
LOGO, WEBSITE, BUSNESS CARD, HEADED PAPER, BROUNCHERS & BANNER
PIA TUNATENGENEZA SOFTWARE MBALIMBALI...
Gari imenyooka, haina cheni. Njoo na fundi ukague uondoke na mchuma.
Engine 2l Desel
Seat 15 inaingia mpaka watu 18-21
Mawasiliano -0654846084
Gari ni manual
Iko mbezi
Sent using Jamii Forums...
salaam,
Nyumba inapatikana PUGU, majohe
Ina vyumba vitatu (master inclusively)
Eneo ni sqm 600
Ina tiles, gypsum na aluminium windows (ila si madirisha yote)
Nyumba ipo ndani ya fensi
Bei: 35m...
Domain name Registration Promo ndio hii hapa. Jipatie Domain name za
.com, .net, .info, .org kwa bei ya TZS 7000/= kwa mwaka.
Unapata na business Email bure kabisa unaponunua domain [...
Natafuta makampuni, shule, watu binafsi wa kufanya nao kazi kwa mkataba kwa kazi za computer maintenance and repair kama ifuatavyo:-
1: kufanya service zote za computer zao
2: ku repair computer...
Wasaalam,
Kwa mbaye ana mzigo wa karoti naomba ataje kwa gunia anauzaje na wapi alipo mimi nipo Dar,
kama muuzaji/mkulima atapatikana Arusha itapendeza sana
Nauza computer aina ya hp na kioo cha dell
Specication zake ni kama zinavyojielezea hapo chini
Hard disk 500GB bei ni 285,000/= ila mazungumzo yapo
Na bado ipo katika hali nzuri
Karibu
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.