Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuuu,nimejaribu kupitia nyuzi mbalimbali zinazohusu power tiler lakini nyingi ni 2012 kurudi nyuma. Pia watu wengi wameshamaliza mizigo hiyo. Sio kwamba hazipo mtaani,zipo ila bei si rafiki...
3 Reactions
44 Replies
19K Views
Screen for Laptop Battery for Laptop Keyboard for Laptop Macbook chargers Laptop adaptors Softwares Wireless keyboard & Mouse Wifi usb adaptors Hdmi to vga convertors Vga to Hdmi convertors Usb to...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Shikamooni wakubwa zangu,Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu "soko la dagaa la tabora likoje"?... kwanza kabisa Mimi ni mkazi kutoka mwanza na pia nilisikia kutoka kwa marafiki wa...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Wasiliiana nasi [emoji338]0766452932 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
630 Views
kwa wale wote wenye matatizo ya simu APA ndo suluisho, pia tuna to a huduma za website design na utengenezaji wa android apps kwa bei nafuu kabsa ,karibuni sana +255659410001
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Habari wana JF, wale wakulima na wadau wa sekta ya kilimo, nawakaribisha sana katika huduma ya kuprinti mifuko ya kuwekea mazao na vyakula vya kuku na wanyama, bei zetu ni nzuri na ubora wa rangi...
0 Reactions
51 Replies
29K Views
ASUS zenfone 3 Dual Sim slim Ram 4gb | Storage 64gb Display 5.5" | Network 4g Camera 16Mp with LED flash Selfie 8Mp | Fingerprint sensor Grove mode | Full body glass Os Oreo 8 Mpya kasoro box...
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Wapendwa habari ya asubuhi. Naomba kufahamu kwa mwenye kufahamu gharama za unyonyaji wa maji taka katika choo kilichojaa. Au kwa anayewafahamu wanaofanya shughuli ya aina hii. Natanguliza...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Wanajamvi habari zenu? Naomba kuleta kwenu taarifa hii ya kupotelewa na leseni yangu ya udereva namba 4000549027. Ninaomba mdau yeyote kama ataiona mahali anipigie namba 0679663661 ili anisaidie...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari Wana JF Point of Sales hii ni Software ambayo inafanya record za mauzo yako ya kila siku,ina fanya record ya bidhaa zilizo stock, inatunza kumbukumbu za bidhaa zinazotoka na kuingia...
0 Reactions
4 Replies
862 Views
Camera hii nimeamua kuuza bei nafuu sana ukilinganisha na bei kliyopo sokoni hivi sasa. Yani mtu akipita tu eneo ambalo umeweka hii camera, pale pale camera inamkamata na muda huo huo inakutumia...
4 Reactions
164 Replies
21K Views
Wadau mi ni mgeni hapa Tanga, nimehamia kikazi, ivyo natafuta chumba na sebule, ikiwa self ni nzuri zaidi, 0768859089 natanguliza shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Ninatafuta chumba kiwe na choo ndani na kiwe kikubwa au chumba ,sebule na choo ndani pia luku iwe ya kujitegemea . Eneo! Kuanzia ubungo mawasiliano hadi mwenge . Phone 0657366601 Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
637 Views
Ninatafuta chumba kiwe na choo ndani na kiwe kikubwa au chumba ,sebule na choo ndani pia luku iwe ya kujitegemea . Eneo! Kuanzia ubungo mawasiliano hadi mwenge . Phone 0657366601 Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Habari wakubwa wenzangu naitaji RAM ya laptop 4GB pia nikipata bei nzuri naweza kuongeza hadi 8GB nipo Dar
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Buguruni, Banana, ubungo , Tabata au eneo lolote lilochangamka NB: sitaki fremu za uchochoroni nataka sehemu iliyochangamka kama unayo PM eneo na bei yake. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinahusika, nimehamia Dar rasmi mwaka huu. Kuna sehem nimefikia kwa muda ila mwishoni mwa mwezi huu (January) nitahamia tabata barakuda, nina mpango wakurudia mtihani wa kidato...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shukurani za dhati zimwendee mwenyezi mungu kwa kunijalia Afya njema, Ndugu, jamaa na marafiki mbalimbali. Ndugu yenu ziloi leo kafanikiwa pia kufungua ofisi mpya ya nguo za kiume dodoma tofauti...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Back
Top Bottom