Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hp folio core i5 ina ram 4GB na hard disk 500GB. Tunapatikana kariakoo aggrey karibu na jengo la vioo la infinix. Kwa mawasiliano: 0653440729 Bei ni shillingi laki sita na nusu tu. Karibuni...
1 Reactions
1 Replies
832 Views
STUN GUN Electric Shock Self defence Quality: 50000KV Price: 95000/= Call: 0766139379 Location: Sinza Mori
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari wapendwa ! Kuna Vitu used nauza vimetumika kwa mda Wa miezi mitano •dressing table •kitanda cha chuma cha 5 kwa 6 •na TV show case Mwenye huitaji anicheki pm Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Je, unafikiria kununua ndege na haujui uanzie wapi? Jaribu hapa...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Unasumbuliwa na simu yako tablete ... Fundi niko kariakoo mtaa walindi na Msimbazi gerezani, Tuna flash na kutoa lock... Tuna badilisha vioo yani display pamoja na tach, yani screen touch... Tuna...
1 Reactions
1 Replies
594 Views
Trekta lipo sokoni, lipo katika hali nzuri, limetumika miezi 2 tu nchini, ni hp 68. Bei ni milion 29 tu! Mazungumzo yapo. Nifuate PM kwa ajili ya mawasiliano zaidi. Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Nimeagiza gari mpya nauza hii.. 0684223374
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za leo! Salama wakuu humu ndani? Nauza kampuni yenye ukomo iliyosajiliwa mwaka jana na inafanya kazi vema kabisa. Inauzwa kwa sababu ya asili ya kazi inazofanya hauwezi kusajili NBAA kama...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
TANGAZO NI LA MDA ILA HIKI NI KINGINE KWENYE HII HII NYUMBA SO KINA CHUMBA KINGINE KIMEKUA WAZI, chumba kingine kiko wazi Chumba ni kizuri sana, kikubwa na kipo mazingira mazuri, kipo kimara...
2 Reactions
98 Replies
12K Views
Asee naomba kuulza hmu kama kuna mtu anajua take away za matunda zinauzwaje kwa jumla Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
3K Views
0715170553/0763013838 Njoo tukuhudumie na upate unachotaka ukichelewa utapata utachopata Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
501 Views
Wadau mi ni mgeni hapa Tanga, nimehamia kikazi, ivyo natafuta chumba na sebule, ikiwa self ni nzuri zaidi, 0768859089 natanguliza shukrani Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
13 Replies
38K Views
Mac book pro 2011, 13inch, 8gb ram, 256 ssd, 2.3 ghz core i5, price 1.1m, imetumika kwa mwaka mmoja, napatikana kigmbn na kurasini njia ya bandari siku za kazi, karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mifugo Tz Pet's Clinic inatoa huduma za matibabu, chanjo, operations mbali mbali, kuhasi na huduma nyingine nyingi kwa wanyama kama mbwa, paka, kasuku, njiwa, etc Madaktari wetu wana experience...
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Habarini waheshimiwa? Nina uhitaji wa kiti cha chuma cha cheke cheke au kwa jina lingine ni CUSTOMER WAITING CHAIR.. Kwa ambaye anacho cha used au kipya tuwasiliane kwa number 0753121404...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Natafuta mwekezaji wa kuingia nae mkataba wa kujenga apartment/office complex Dar Es Salaam. Nina viwanja locations nzuri. Pia kuna plot available for sale. For more information please call...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa MBEZI BEACH GOIG Ukubwa wa kiwanja ni sqrm 1230. Kimepimwa na kina hati. Bei 240(maongezi yapo) Serious buyer tuwasiliane. Contact:0787462167 :0718441000 Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nataka Noah townace, ya mwaka 1999-2001., 3s engine toleo la super extra LIMO. Bajeti yangu 8 ml WhatsApp no 0767360301
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, tunaelekea pasaka Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku. Baada ya kufanya mauzo Christmass na New Year nimeona faida kubwa katika ufugaji. Kwa yoyote mwenye uhitaji wa kuku chotara 60...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom