#WANAWAKELIVETZ tumeandaa program ya Kufundisha ujasiriamali, DARASA hili la UJASIRIAMALI litatolewa bure kabisa, mtaweza kujifunza
Ufugaji, kilimo na biashara.
Utengenezaji wa sabuni ya mche...
Zanussi fridge original from uk ina sehemu ya friji na friza imetumika kidogo iilinunuliwa southafrica imarazaidi(kulikobrandzinazoingizwa kwa wingi nchini)
.Inatumia umeme kidogo...
Habari wana JF,
Naombeni msaada kwa mwenye kujua bei za DEEP FREEZER, used au mpya bei zake zikoje?
Nitashukuru kama nitapewa mrejesho(feedback)
Asante
TOYOTA LANDCRUISER V8
YEAR 2014
Engine: V8, PETROL
Transmission: Automatic
Km 33,091
Price: TSHS Mill 125 negotiable Gari ni mpya ya Juzi DPK
NOW already registered with number DPK
Chart with...
nina eneo kubwa la eka 2, liko mbezi luis pembezoni mwa barabara ya kwenda mpiji, natafuta MTU anaetaka eneo kwa ajili ya KITUO CHA MAFUTA nimuuzie haraka iwezekanavyo, kama kuna mtu anamjua...
Habar wanajamii
Natafuta nyumba ya kupanga hapa mjin Arusha kwa bei ya kuanzia laki na nusu hadi laki mbili.
Mahitaji ni chumba self, sebule, jiko kwa ndan au hata double self itakuwa poa pia...
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu natafuta nyumba ya kupanga sifa za nyumba ninayotaka ni kama ifuatavyo;
Nataka nyumba iwe karibu ila isiwe karibu sana na chuo cha kilimo cha sokoine...
Habari za mida wakuu naomba kuwafahamisha kuwa kwa waliopo Dodoma au nje ya Mkoa karibuni mnunue au muuze vitu tajwa hapo juu.
Changamkia fursa ya Dodoma kuwa Makao Mkuu ya Nchi yetu ya Tanzania...
ENEO: KIKUYU WEST NDANI YA HALMASHAURI YA JIJI LA DODOMA.
USAJILI: 800-sq NAMBA 34 KITALU A.
UMBALI: DAKIKA 15 TOKA MJINI KATI.
MATUMIZI: MAKAZI AU HOSTEL MAANA KIPO KARIBU NA CHUO CHA ST JOHN...
Habari zenu ndugu na jamaa,
Naitwa Enock, napatikana Mbezi, Dar es Salaam, Tanzania.
Mimi ni fundi wa kutengeneza sofa, natengeneza sofa za aina tofauti tofauti na za kisasa.
Weka oda yako...
Wanajamvi.....
Nina dharura kidogo, kwa sasa nahitaji gari kwa ajili ya matumizi yangu binafsi...., hela niliyonayo ni milionn 6-7. Gari ninalohitaji liwe mojawapo kati ya haya:- IST, GX110...
Kiwanja kinauzwa kipo Nyangomango jaribu na stand ya Nyashishi kimepimwa kama eneo LA kiwanda ni heka mbili bei million 150 kina hati mawasiliano 0758381277
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.