Jipatie Viwanja kwa bei nafuu
CALL 0757059401
⦁ Viwanja vipo njia kuelekea Bagamoyo
⦁ Magharibi mwa Bunju na Mabwe Pande
⦁ 6 KM kutoka shule ya Baobab
⦁ Pembezoni kwa bara-bara ya Mapinga-Maili...
Waungwana salam zenu kutoka kwangu.
Naomba kufahamishwa sehemu naweza pata viatu na mikanda ya ngozi ya mtumba nikiwa Dar es Salaam.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba inauzwa kigamboni maeneo ya geza ulole ipo pembezoni mwa beach ya Islam pub,.....
SIFA ZA NYUMBA
- Nyumba Ina hati miliki na kiwanja chake kimepimwa na ardhi kina ukubwa wa 900s/m
-Nyumba...
Habari wapenda humu ndani nina uza pump ya kumwagilia inch tatu aina ya boss kwa laki tatu na thelathini mpira wake laki moja na arobaini mpira ni mitaa mia vitu vyote bado vipya kabisa havitumika...
TAWA WATER PROFFESONAL
Tunachimba visima vya maji na kufanya utafiti wa maji ardhini ( Underground water survey) kwa ghalama nafuu kabisa
Bei ya Uchimbaji kwa wateja wa Dar es salaam ni elfu...
Niko Zanzibar ambapo Ngo'mbe wa kilo 200 anauzwa laki 7.
Ngombe huyo wanapatikana Mwanza Magu au Dodoma Kigwe kwa laki moja au laki, na 30 nyasi za kula na mswagaji mpaka Dar kwa Ng'ombe 50 ni...
Habari kwenu wanajf,,,naomba niende kweye mada kama inavyojieleza.Nina wazo ka kufungua kibanda kwa ajili ya kuuza madaftari jumla na rejareja mkoani.Ombi langu ni kutaka kujua kwa mliopo humu na...
Mwenye ufahamu na hiki kitu jaman msaada wenu kama kinavo onekana katika picha nisje ingia chaka kukwepa gharama za ving'amuzi vya kulipia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mahitaji ya unga wa lishe ulio bora kabisa na asili 100% uitwao Beah Nutri-Flour wenye mchanganyiko wa Ulezi, Soya, Karanga, Mahindi Lishe na Mbegu za maboga plz nicheck kupitia 0769112563 /...
UKARA FISH GROUP tunauza dagaa wa kukaangwa wa viungo na wasio na viungo wenye ubora wa hali ya juu sana wakiwa wameandaliwa mazingira safi na salama.
Tunapatikana mwanza na mikoani tunatuma.
Oda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.