Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau, Naomba msaada kwa mtu yeyote anaejua wapi naweza pata watoto wa nguruwe Mwanza. Nahitaji kununua Kama 30-50 inategemea na bei Kama tutaelewana. Naomba namba au ni PM. Natanguliza...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari Natafuta wauzaji wa samaki wa jumla sangara na sato kutoka Mwanza na Dar kuja Kibondo na Nzega kwenye maduka yangu ya rejareja ya samaki
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Nauza sitemirror ya scania bei maelewano Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Sony Expedia Z3 Display 5'2 | ram 3gb Network 4g | Storage 32gb Camera 20mp LED Flash Battery 3100mAh Price 220k
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Una emergency yoyote na unahitaji pesa kwa haraka? Unahitaji mkopo? BRANCH ni Application iliyoanzishwa na Mzungu kutoka Marekani inayotoa mikopo direct kwenye simu yako. Unachohitaji ni...
2 Reactions
95 Replies
22K Views
Habari wadai naitaji chuma cha pring material ili niwezetengeneza kifaa kama niko hapo kwenye picha. Mawasiliano 0712687590 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Kwa anayehitaji Laptop fasta Ipo naiuza 350,000 Nipo Dar Ram gb2 hard disk gb 300 Aliye tayari aje PM tuwasiliane
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Ndugu yangu a nahitaji gari mojawapo tajwa hapo juu budget ni 4M kama unaweza kuwa nayo 0711366636 WhatsApp hapo Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Zama catering tunatoa huduma ya kupika chakula kwenye masherehe mbalimbali mjini mbeya kwa bei nafuu kabisa Kama unahitaji huduma zetu tafadhali wasiliana nasi kwa no hii 0785435753 Sent using...
0 Reactions
1 Replies
961 Views
Inauzwa
0 Reactions
0 Replies
576 Views
Habari zenu wana jf naomba kama kuna mtu anaefaham duka linalouza hizi pumb anielekeze lilipo
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Wadau polen na majukumu. Na samahanin kwa post ya mwisho hakua na maelezo ya kueleweka. nauza fridge ni dogo size ya kat na linafanya kaz vizur kabisa. Linapooza na linagandisha vzr tu. bei ni...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa Mwenye kuitaji Nyumba ya Nyumba viwili kimoja master Na sebure kubwa inapangishwa KAWE,Nyumba inaumeme,MAJI,pia IPO karibu Na Barabara Mkuu dk 3 hadi nyumbani,kodi 200,000/ inaongereka kidogo...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
4 CHANNEL CCTV CAMERA SYSTEM DVR RECORDER FULL HD INSTALLATION CD MOUSE REMOTE 2 POWER ADAPTER 4 EXTENSION CABLE PRICE : 500,000 TSH ONLY
0 Reactions
2 Replies
674 Views
kwa yeyote anayehitaji kununua sheli au eneo la kujenga sheli hapa dar au mikoani na kwa anayeweza kuwa ana mteja wa kununua sheli tuwasiliane tufanye biashara. #0672089903.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote. Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Happiness Massage Services inawatangazia nafasi za Mafunzo ya Massage LEVEL 1 kwa muda wa miezi miwili. Mafunzo yatatolewa kwa njia ya Nadharia na Vitendo. Wanafunzi watajengewa uwezo mzuri...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Nadia type SU inaunzwa milioni tano gari ipo Sinza Ukiitaji nichek kwa namba hz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Back
Top Bottom