Wazee hivi viatu nilinunua kwa ajili ya kuvaa mwenyewe ila vimenibana mana ni namba 41. Km umevielewa nicheki unirudishie hela
Viatu ni vya mtumba, Bei ni 40,000/= tu, Namba ni 41
Sent using...
Tuna usafi wa aina 2 kwa ajiri ya gari yako
1.Gari itaoshwa nje na ndani bila kutoa kitu.
2.Gari itaoshwa nje na ndani kwa kutoa viti vyote na kisha kufanyiwa usafi wa kina kila sehemu kwa umakini...
husika na kinywa cha habari hapo juu
Mimi ndugu mwana jf ninahitaji line ya vodacom m pesa iwe double line ambaye anayo aje [emoji395]
Location dodoma
[emoji404] tukikubaliana [emoji395]...
Wapendwa wana jamii forums,
wanangu yamekwama kurudi shule, na njia ya haraka kujinasua ni kuomba msamaria mwenye uwezo wa kunikopesha 3M..ndani ya miezi3 namrejeshea na riba atayohitaja...
Habari Wana jamiii nauza television aina ya sumsung old model kwa bei rais lakin ina tatizo kidogo la kubadilisha kiooo Ila ina Waka vizuri kwa bei cheee
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za kazi na mihangaiko wakubwa
naenda straight kuna line ya uwakala /wakala ya TIGO inapatikana bei 170,000
kama upo na need na hii kitu njoo inbox
nawatakia siku njema wakuu
Asalam aleykum wanajukwaa
Naomba mnipokee memba mpya ndani ya jukwaa adhiim.
Naam mwaka huu 2019 kati ya ndoto zangu ni kumiliki ardh kati ya ekar 15-20 sehemu yeyote ile Tanzania ambayo nitaona...
CLEARANCE SALE
MPENDE MWANAO
Hii ni PVP Station
Inakuja na michezo 3000
Unaweza itumia kwenye TV
Ongeza IQ ya mwanao
Ni rechargeable
PRICE 55000 TSH
Call 0719389990
BUY 3 GET 1 FREE
Punguza...
Kheri ya Mwaka Mpya 2019
Nauza dagaa wa Songea wengi hata gunia ukitaka.. Sado 1 shs 20,000 rejareja..!! Tuko Ilala, Dar sehemu yoyote unaletewa..!! Jumla sado shs. 18,000
Karibuni
Call. 0757...
Asali ni moja ya chakula chenye kazi kubwa mwilini hutumika pia kama dawa kwa kutibu magonjwa mbali mbali mwilini hivo inakupasa kujenga mazoea ya kuitumia kila siku kwa kuanzia Kama kifungua...
Habari wanajamii, unakaribishwa katika safari ya mafunzo ya fursa zitokananzo na bidhaa za kilimo.
Tafadhali Fungua kiambatanisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Laptop hp
Ram 4 Gb
Hdd 320 Gb
Processr 2.6
Iko safi inakaa na chaji
490 k
Oppo A57
Ram 3 gb
Internal 32 gb
Simu bado mpya imetumika week 2
400 k
Huawei honor
Zote brand new full box
32 gb na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.