Tunakufata ulipo. 0674497230
(Kwa wakazi wa Arusha na Dar es Salaam)
Baadhi ya matatizo ya computer tunayo yafanyia kazi.
1.Ku install windows,
2.Kuweka Antivirus,
3.Kuweka office,
4.kuweka...
Habari za majukumu nyote,
Kuna Dada yangu kakwama anauza NYUMBA yake, iliyopo maeneo ya singida mjini.
MAELEZO
NYUMBA inapatikana singida mjini maeneo ya JINERI.
kutoka stand kwa bajaji ni tsh 500...
CLEARANCE SALE
MPENDE MWANAO
Hii ni PVP Station
Inakuja na michezo 3000
Unaweza itumia kwenye TV
Ongeza IQ ya mwanao
Ni rechargeable
PRICE 55000TSH
Call 0719389990
BUY 3 GET 1 FREE
Punguza...
Habari ya kwako ndugu nipo Zanzibar ni mgeni natafuta nyumbani ya kupangisha ya self yenye fensi na geti bajeti yangu angalau USD 100 kwa mwezi kama inapatikana nifamishe kwa Namba zangu ni...
Nauza mashine ya kudarizi na kushona yaani inauwezo wa kushona na kudarizi
Ni rangi ya kahawia,aina ya Singer!
Inauzito kama kilo 7 mpaka 8
Inatumia umeme,japo unaweza kuamua sido wakuwekee...
Hello Gentleman and Ladies,
Ninahitaji dagaa Kwa bei ya jumla ,nahitaji anzia gunia 200 wawe wa kigoma ,mwanza Au Zanzibar ,gunia zinakaa kg ngapi ,AU WAKUSHATOLEWA ZIWANI WAKIWA WABICHI BEI...
Habari wakuu.!
Zinauzwa lain za uwakala wa tigo pesa, mpesa na airtel money zote kwa pamoja kwa 400,000/tu.
zinapatikana Dar. Mwenye uhitaji nicheki kupitia 0754847678
Habari za majukumu
Nina line tatu za M-pesa zote nauza 150,000@.
Ninazo pia line za Tigo pesa mbili zote nauza 190,000@
Nipo Dar es salaam lkn pia kama upo mkonia zitakufikia. Changamkia fursa...
Nahitaji mtu wa ajili ya mradi wa kulima shamba la ekari moja kwa ajili ya mbogamboga na matunda na ufugaji km upo njoo pm tuyajenge! Uwe serious tafadhali... Mshahara kila kitu tutaongea, uwe...
Habari za asubuhi wana jf. Mimi ni mjasiriamali niliekua najihusisha za utengenezaji na uuzaji wa juice ya miwa. Hivi karibuni nimepatwa na matatizo hivyo nimeamua kuuza mashine ya kutengenezea...
DISPLAY
Display Type LED
Screen Size (in.) 43
Resolution 3840 x 2160
BLU Type Direct
VIDEO
HDR Active HDR
└ HDR10 Yes
└ HLG Yes
Colour Master Engine Yes
Resolution Upscaler Yes (4K)
HDR Effect...
Kiukweli kaunda suti ikishonwa na fundi anayeijulia inatoka poa saaaana na hasa ikivaliwa na mtu mwenye mwili wa wastani, yaani si mnene. Naomba kujuzwa ni wapi walipo mafundi wazuri wa hii kitu...
Bei zipo chini kwenye caption hii. Usafiri na kufungiwa ukutani ni BURE kwa Dar. Piga 0658184797 / 0752184797. Warranty mwaka 1 na Tupo Magomeni Mapipa mtaa wa Idrissa. TV ZOTE NI MPYA NA UNALIPIA...
Ndugu wana JF Kheri ya Mwaka Mpya 2019
Samahani wadau, natafuta spare part za Mazda Titan Dash TC-SYE6T,CHASSIS NO.: SYE6T-202022, ENGINE CAPACITY: 1,990 CC,
TRANSMISSION: Manual
Kwa mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.