Habari zenu?
Husika na kichwa cha habari
Nipo dar es salaam
Nauza novels za watoto wa rika zote
Bei ya novel moja ni Tsh 3,000/=
Ukichukua package ya novels tano bei ni Tsh 10,000/=
Karibuni...
Kwanza natunguliza shukrani za dhati kwa jukwaa hili pamoja na wadau wake wote kwa ujumla kwani limenisaidia sana, biashara zangu zote nazofanya nilianza kuja kwanza hapa kwenye hili jukwaa...
Nahitaji mhuri wa kugonga kwenye karatasi, nipo Dar maeneo ya Bunju, nahitaji kutengenezewa asubuhi ya Tar 3.1.2019 kama wewe ni fundi nicheck 0719626377
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari member wa JF, Nauliza hizi sofa za chuma zinatengenezwa wapi kwa hapa DSM, naona kama ni ngumu zaidi kudumu kulinganisha na zile za mbao, Msaada please. Nimeweka na picha ya mfano
Nauza simu yangu niitumiayo kutokana na shida ya kipesa inayonikabili.
Ni Samsung a8 ya 2017.
Storage GB 32
Camera MP 16
Battery mAh 3050.
Simu ina mstary wa kucrake kidogo sana kwa juu bt...
Naomba kufahamu upatikanaji na gharama za mashamba ya kununua katika mkoa wa Morogoro hasa kwa maeneo ya ifakara,mahenge,malinyi,itete,mang'ula na maeneo mengine kuacha wilaya hizo.naomba msaada...
hii laptop nimeachiwa na boss akati anarudi kwao china ni PC nzuri sana
Naiuza 750k haipungui naamini kama unajuana na watu wengi hasa wenye uwezo unaweza kwenda kuiuza hata 1.5m+
pia kama kuna...
Nissan Serena 2000
Body-Saloon (Closed Top)
Colour-Black
Class-Less than 12 persons
Year-2000
Fuel-Petrol
Engine Capacity-1990
Inamatatizo kwenye gear box
Price-5.5 Milion
I am the owner
Njoo PM...
Nina mizigo yangu Dar (vitu vya ndani) nahitaji kuhama navyokwenda Mwanza, ni vingi kidogo na sitaki kuuza, ambaye anajua namba za simu ama wapi nitapata Lori la kunibebea msaaada pls!
Wakuu,ubachela ni mzigo,huwez amini sijala maharage mwez wa pili huu unakatika,namii ni mpenz wa hii kitu vbaya mnoo..na kingne ni pilau..
Nataka mtu ananipikia hvi vyakula hata vya wiki nzima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.