ARUSHA ARUSHA
Kama upo arusha na unahitaji hizi earphone mwisho wa kuweka order ni leo jioni
Zimebakia chache mnoo
bei ni 9000 tu na kukuletea bure mpaka ulipo
Watu wa MOSHI pia mnakaribishwa...
ZAMU YA DAR ES SALLAM SASA!!!!!!
HAYA SASA HII NI ZAMU YA WATU WA DAR,MOSHI ARUSHA
Earphone za ukweli sifa zake ni:-
Imara sana
Zinadumu
Zina bass
Sauti kubwa
Kitufe cha kuongeza na kupunguza...
Certified Information Systems Audit (CISA) Mock Test is scheduled to be conducted on 21/04/2018 at DSM City Center. This Mock test covers all the domains and is based on the guidelines provided...
Tunatoa Huduma Za Graphics Designing Kama Uandaaji wa Logo, Business Card, Brochures, Flyers, Banners, Music covers, Book covers, ID cards, Product labels... Bei safiiii
Contacts:
Call...
#Environment#for#learning# just# #your#choices#
Online learning
Class meeting
#contact#
Joel.joe61@yahoo.com
+255620690670 Guaranteed
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habari,
Samahani, mwenye kujua shule yeyote ya primary ambayo inafundisha katika media za Kiinglish msaada. Shule iwe ya boarding Ada isizidi 2m kwa mwaka, hapo kilakitu.
Mtoto nataka...
ofer ya siku kuu.nauza watoto wa nguruwe wa kuanzia mienzi miwili ,mitatu na kuendelea na wanaofaa kula.bei wako wa 40000,50000,70000 na kuendelea.napatikana segerea dar es salaam.karibuni sana.
Habari wakuu..
Natafuta sehemu nayoweza kupata mbolea ya mavi ya kuku nzuri na bei poa. Nalimia kigamboni na ninahitaji viroba 200+.
Kama unafahamu sehemu naweza pata naomba nisaidie contacts...
Wanabodi
Heri na mwaka mpya
Ninawaletea vitabu 3, cha kwanza "MUNGU NA UPONYAJI KATIKA MATUNDA , NAFAKA NA MBOGAMBOGA", " USALAMA KATIKA MIFUMO YA UMEME" na " MAISHA YA CHUO".
Vitabu hivyo 3...
Habari wanaJF,
Nahitaji 0.035 Bitcoins. Kwa mtu alie na bitcoins naomba anitumie nami nimtumie cash katika TZS. Pia kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kununua online (over the internet) naomba...
Habari wakuu?
Naitaji gari dogo namba ianze na C vitz old model nitaipa kipaumbele
Budget M 4 mpaka M 4.5 starlet ,Suzuki swift sizitaki .Muuzaji makini anicheki 0757985566 WhatsApp gari liwe...
Kama inavyosomeka hapo juu, inahitajika nyumba ya kupanga maeneo hayo niliyoyataja au karibu yake. Kodi isizidi milioni moja kwa miezi 6.
Sent using Jamii Forums mobile app
wana jamii forum habari za mda huu..
Kutokakana na uchumi kukaza natataka nijiajiri kuwa dereva bajaji.naombeni ushauri kuhusu hii biashara.
Pia naomba kujua bei ya bajaji used na bajaji mpya...
wakuu habari za muda huu!
TMG AFRICA inakuletea semina ya mafunzo ya utengenezaji wa sabuni za magadi na za maji za aina zote. mafunzo hayo yatafanyika kila siku ya jmosi na jumapili katika ofisi...
Hello wana jukwaa.
Mimi ni mwanamke Natafuta mfanyakazi wa kike wakumwangalia mtoto wangu. Kazi yake itakua kumwangalia mtoto mmoja tu.
Mtoto wangu sio msumbufu Wala Sina kazi nyingi kwangu na...
Gari aina ya Brevis namba B linauzwa..Gari lipo katika hali nzuri kabisa... Bei ni milion 8.5 ila maongezi yapo... Kama unania ya kununua gari hilo unaweza kuwasiliana na mmiliki wa gari husika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.