Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Je, una nia na uwezo wa kuagiza gari kutoka Nje? Je, una hofu kuagiza gari nje?, Je, huamini katika kuagiza gari nje? Je, huna mda wa kuagiza gari kutoka nje?, Je, hujui taratibu salama za kuagiza...
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Nauza toyota Raum DLZ Ipo Mbezi Beach Contact 0718221009 0744952984 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
13 Replies
4K Views
INAUZWA Canon 6D Condition | used like New Location | ubungo *Haijawahi kutumika* Bei milioni 2.5 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Hbr ndugu, nina mpango wa kuanza Kilimo cha bustani ambacho nina Malengo ya kukifanya kwa mwaka mmoja na nusu. Hivyo nahitaji mwenye uzoefu na waterpumps ili zoezi liwe rahisi , nipate...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Kwa kuzingatia mahitaji, matakwa ya wateja na mabadiliko ya Sayansi na Teknolojia, kampuni ya simu za mkononi Itel, ambayo hivi karibuni ilishika nafasi ya kwanza kwa kuuza bidhaa zake nyingi...
4 Reactions
8 Replies
18K Views
Natafuta Chumba Dar es Salaam single Cha kupanga Chumba kiwe na umeme na nje pawepo na maji Kiwe kidogo Cha wastani Kodi nitalipa miezi minne baada ya mwezi mmoja na nusu nitamalizia
0 Reactions
4 Replies
893 Views
wanawakelivetz #WADADACENTER . 2019 Tunatarajia kuboresha program hii ya wafanyakazi wa Nyumbani kuwapa Mafunzo ya Mwezi angau mmoja... Kwa sasa wanapata Mafunzo kwa wiki moja tuu kwa Sababu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, Anayeuza gari aina ya subaru forester model SG5 tuwasiliane DM. Iwe ya kuanzia mwaka 2004 - 2009. Muuzaji serious naomba aje DM please. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau kwa anaye fahamu kwa kipindi hiki maeneo yanayouzwa mpunga Gunia kuanzia 30000/= hadi 40000/= Naomba taarifa nataka nichkue STOCK.
0 Reactions
61 Replies
9K Views
Habari zenu wanaukumbi Nipo na Mashine za mbao.kwa sasa nipo na planer 24 Inches.na table saw 10 inches Mashine zipo katika Hali nzuri.planer ni almost mpya.bei Yangu ni nzuri.tuwasiliane kwa...
0 Reactions
17 Replies
15K Views
Natafuta Chumba Dar es Salaam single Cha kupanga Chumba kiwe na umeme na maji yawepo nje Kodi 30000 Kama unacho nickek 0768776716
0 Reactions
1 Replies
735 Views
Habari zenu watanzania wenzangu, nimewaletea taarifa njema kwa wale wajasiliamari kama mimi, kuna kampuni mpya ya kutokea china inaitwa yenye ofisi zake hapa Tanzania katika jiji la DSM, Ni...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
Msaada kwa mwenye kujua kiwanja cha bei nafuu maeneo hayo niliyoyataja naomba anijulishe.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
FOR SALE HTC DESIRE 825 Slim phone Network 4g | Ram 2gb Display 5.5'' | storage 16gb Camera 13Mp Led Flash | Selfie 5mp Android Os 6.0 | Battery 2700mAh Condition used | no any scratches Bei...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Kiwanja kinauzwa, kimepimwa na kiko tayari kwa ujenzi. Huduma muhimu zipo,kipo mita 250 kutoka barabarani upande wa pili na ule wa mradi wa mji mpya.Kipo Dege Kigamboni. ukubwa wake ni 20*20...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema,tunauza windows kwa bei ya sh 170,000 kwa kila moja. Bei yake ya dukani ni zaidi ya sh laki tatu.Zipo pcs chache kwa hiyo kama una project au una mteja...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nahitaji mtu mwenye uwezo wa kutengeneza website na app Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
497 Views
Line hizi zinapatikana kwa bei nafuu na ya maelewano, aliyekuwa interested anicheki kwa namba ya simu 0719585236 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
739 Views
(a) Kundi ..........Mbao 1/ Kucnana mbao 2/ kurand mbao 3/ Kukereza mbao 4/ Kupiga spindle 5/ Kutoboa mbao (b).............. chuma 1/ bench drill (kutoboa chuma) 2/ Lasser machine (mashine...
0 Reactions
17 Replies
7K Views
Waungwana habari za jioni. Natafuta tv flat kampuni iwe lg,sumsung,sony,panasonic,philips,tcl,startimes,nk ila isiwe kabila la hizi za kichina . Size iwe kuanzia 32+.iwe ni smart au led tv...
5 Reactions
51 Replies
5K Views
Back
Top Bottom