Ningependa niwatakie heri ya sikukuu za Christmas na mwaka mpya wadau wote wa Jamii forums, najua wengi wetu tutakuwa tumejumuika na familia zetu, basi ningependa ofa hii ambayo naweza nikasema...
tunauza vifaa aina zote vya butcher
mashine za kukata nyama 1,800,000/=
mashine za kasaga nyama 600,000/=
mashine za ku slace nyama 300,000/=
misumeno ya mashine 25,000/=
na accessories za butcher...
Ndugu Wana jamvi nikiwa Kama kijana nimeanzisha biashara yangu ya uuzaji asali mbichi ya nyuki wakubwa na wadogo na inapatikana kwa ujazo wowote utakao hitaji kuanzia nusu litre na kuendelea na...
Habari,
Nauza HP Probook laptop Core i5
Ina 1 TB
Ram 8GB
Bei Ni 350000 Fixed Haipungui
Wasiliana nami
Nipo kimara Mwisho
Sababu ya Kuuza Ni Shida zangu Binafsi
Ikifika Tar 28 nacancel plan...
*HP Folio 9470m Core i5*
*Brand new slim PC*
7th Generation pc
HD Graphics Display
LED 14" Display
*Brand new PC*
Ram 4GB
Hard disk 500Gb
*Very Very Slim PC*...
Ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kuniungisha kitabu changu cha SHERIA KWA KISWAHILI. tuliamua kupunguza bei ya kitabu kile toka Tshs. 15,000 hadi Tshs. 10,000 ili...
Wakuu, salaam!!!..
Ninahitaji engine ya Landcruiser 1Hz Series iwe katika hali nzuri.
Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790
Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni Millioni mbili...
Nahitaji gari kwa ajili yangu kati ya Runx/Premio au Allex namba C au D.
Bajeti yangu ni 7mil.
Rangi yoyote isipokua nyeupe.
naweza kuilipia hata Sasa baada ya kuikagua na kukubaliana.
Nipgie au...
Wadau salama ! ! Natafuta plot ya kununua maeneo karibu kabisa na daraja upande wa kigamboni isizidi km 4 toka darajani, iweze kufikika kwa gari kama canter bila shida, mwenye nayo tuwasiliane kwa...
Ndugu Wana jamvi nikiwa Kama jina nimeanzisha mradi wa ufagaji nyuki na kwa Sasa nimeanza kuvuna asali napatikana maeneo ya keko Dar es salaam lakini natuma mzigo wa asali mahala popote naombeni...
Habari wana JF, kiwanja kinahitajika katika maeneo tajwa kisiwe bondeni pia pawe panafiika gari, umeme na maji yawe karibu. Kama unacho taja eneo, ukubwa na bei
Android; 5.1 lollipop
Screen size; 5.5 inches
RAM; 2GB
Internal storage; 16GB
Back camera; 13MP with led flash
Front camera; 5MP with led flash
Network; 4G LTE
Better; 3,000 may
Simu inacreck...
CANON IR 2202
SIFA: INA TOA COPIES NA KUPRINT (A4, A3 ETC)
BLACK AND WHITE
BEI- 850,000/=
CANON IR 1024
PRINTER AND COPY
BLACK AND WHITE
BEI-950,000/=
PRINTERS
HP 176 mfp- 550,000/-
Laserjet
Ina...
Habari wapendwa. Niliwahi kuulizia kuhusu mifuko ya kufungia nafaka kilo 2 na kilo 5. Nilielekezwa humu na baadhi yenu nimepata. Sasa naulizia mashine ya kufungia mifuko hiyo naweza kupata wapi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.