Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
0 Replies
459 Views
Nauza PC aina ya HP SH 900,000 MPYA. Ram 8 HD terabyte 1 i5 Pia IPO hp sh 550,000 used Ram 4 HD 750 i5 Karibuni sana.
2 Reactions
5 Replies
747 Views
Nmekua nikihitaji sana kua Mpiga picha. Kwa yeyote anayeuza camera (stil picture) nzuri kwa bei nzuri na poa. Hasa nikipata Nikon au Sony itapendeza Kwa mawasiliano zaidi basi njoo kwanza pm then...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau niko mkoani Dodoma, mwenye uhitaji wa maeneo ambayo bado hayajapimwa, nimakubwa kuanzia ekari moja, kwa pesa taslim 1M. Pia kiwanja kikubwa cha 70/46 bei sh 8 M. Maeneo tote hayajapimwa...
0 Reactions
1 Replies
653 Views
Kipo Mwanza maeneo ya National mkabala na barabara inayokwenda Buswelu square meters 583 kimeshapimwa na hati miliki..Bei mil 19 haipungui na hakuna gharama za Dalali Kwa aliye serious nipigie...
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Nataka nijaribu kufanya hii biashara, mimi ni mwajiriwa hiyo pesa nimeweka akiba miaka mitatu. Nataka nianze na coaster moja , sema sina ujuzi na hii biashara. Hiyo gari sina uhakika kama ni...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Iringa mjini Karibu na Tumaini University na Kihesa secondary school. Kwa mawasiliano call 0714 49 75 10 au 0767 33 11 70. Bei maelewano. Inaanzia 21m Karibuni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu salaam Kama mada inavyojieleza Nauza dagaa wa kukaanga kwa Bei ya jumla,ndoo kubwa elfu 60 Nipo Morogoro mjini,Kama unahitaji weka ODA yako mapema mzigo unaingia jumatatu mapema Sana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu,nauza gari aina ya Pajero GDI Mwaka 2002 Rangi, Nyeusi Mileage,200,000 km 1500cc. Bei million 5 Karibuni wakuu
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Kwa anayehitaji Asali mbichi kutoka mpanda Plse ni pm nipo dsm
0 Reactions
2 Replies
671 Views
Nauza Samsung J4 2008....Imetumika Only one month 320,000 0627958839 32gb memory/2GB RAM 1.4 GHZ CORE PROCESSOR 13MP REAR CAMERA/5MP FRONT CAMERA INA WARRANT YA 2YEARS Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
687 Views
Naombeni msaada wenu wakuu wa moshi! Nyumba iwe self ya kuanzia room mbili au tatu. Isiwe mbali sana na sehemu ya kupanda daladala za kwenda mjini. Iwe na fensi na nafasi ya kueza kupak gari...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Suzuki samurai Mwenye nako ajitokeze tufanye biashara ila vizuri zaidi kama katapatikania Maeneo ya Mwanza Mara Simiyu na Shinyanga
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wapendwa karibuni Mashuka ya mtumba toka Omani kwa bei poa kabisa Mashuka yana uwezo wa kutandika kitanda cha 8 kwa 10 nimazito cotton %100 bei 30,000/= ukichukua mawili bei inapungua kidogo...
1 Reactions
93 Replies
13K Views
Simu bado mpya storage 32gb ram 4gb Display 6" kamera za hatari bei 450000/- Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Nauza CPU aina ya Dell Hdd 120g , ram 2g , Dvd Rom , core i3 zote zikiwa, tayari installed kwa windows 7 kwa bei ya Tsh 130, 000/= km unahitaji nicheck kwa whatsapp no 0654 40 35 40
0 Reactions
3 Replies
941 Views
Ninapenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru wote walionitia moyo kwa kuniungisha kitabu changu cha SHERIA KWA KISWAHILI. tuliamua kupunguza bei ya kitabu kile toka Tshs. 15,000 hadi Tshs. 10,000 ili...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
internal storage: 16GB RAM: 2GB Screen size: 5.5 inches Network: 4G LTE Camera: 13MP with led flash Camera iko poa haina chenga simu inacracks kadhaa ila inapiga kazi haisumbui Tsh 125,000 Dar...
0 Reactions
4 Replies
711 Views
Wadau hii ni aina gani ya madini? Na soko lake kwa hapa Tanzania liko wapi,na bei yake ikoje msaada please nimeambatanisha na picha hapa chini,yana rangi ya dhambarau, My WhatsApp number 0787701403
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habarini wandugu!!! kama nilivyoandika kwenye title! Nahitaji printer inayo weza tumika kwaajili ya biashara printers iwe vigezo vifuatavyo 1 iwe laserjet printer 2 iwe colored 3 iwe na uwezo wa...
0 Reactions
3 Replies
763 Views
Back
Top Bottom