NAUZA TABLET NINAYOITUMIA
NI
SAMSUNG GALAXY TAB A 9.7
Model number SM-P555
WHITE in colour
android version 7.1.1 (Nougat)
RAM 2GB
INTERNAL 16 GB
Very slim
INA MIEZI SITA SASA
HAINA TATIZO...
Mnunulie mtoto wako zawadi ya Christmas
MPENDE MWANAO
Hii ni PVP Station
Inakuja na michezo 3000
Unaweza itumia kwenye TV
Ongeza IQ ya mwanao
Ni rechargeable
Bei: 50,000/=
Call 0656190449
BUY 3...
Habari! Kuna chumba kinapangishwa maeneo ya Buguruni kwa Mnyamani. Chumba hicho nilimpangia dada angu ambaye alikuwa anatoka mkoani kuja Dar, lakini kwa bahati mbaya akapata majukumu mengine huko...
Kama upo DSM au DOM chenye sifa nzuri ila bei cheap unaauza ila upati wateja niwekeee iyo bidhaa PM nasifa zake chapu maana nina network kubwa.
Leta chap maana leo nimeamka na shs 300/= tu siopoa...
Nauza pikipiki YAMAHA YZ ni kama ofa kutokana na shida zangu ni used safi kabisa haina tatizo lolote ni ruff road CC: 450 ipo Zanzibar kisiwa cha Pemba urahisi ni kupokelea Tanga ama hata Dar...
iPad 2 iko kwenye hali nzuri; battery inatunza charge kwa muda mrefu zaidi ya masaa 10 ya kutumika (active use) na ikiwa unasoma au kuangalia movie na kuacha charge hutumia zaidi ya week.
Karibu.
Tumezoa kuona bidhaa kubwa kubwa ndo mtu anafanyiwa delivery
Ila hata kwa earphone nafanya hivyo unaweka order nakuletea bure mpaka ulipo
Bei ya earphone ni 9000 tu wapendwa
Zinatumika na...
Rejea Kichwa Cha habari Hapo juu
Nahitaji till Za wakala M-pesa na airtel money kwa yeyote aliyonayo
Location:Dar
Price : 200k kwa zote mbili
Contact: Njoo PM pako wazi
Ukubwa 24×23 Mita
Haijapimwa,majirani wote wamepima
Ni kuunga vipimo tu..
Bei ni milioni 20 mazungumzo.kidogo
Pande zote zimejengwa.
Ni mita 200 kutoka kwenye minara inapoishia lami,kiwanja cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.