Company: Sunshine Group (T) Ltd
Position: Mining personnel (20 post)
Location: Chunya Mbeya and Dar es salaam Head office
Qualification: Degree holder in related field.
Experience: Atleast Two...
If there is any institution which is looking for a qualified librarian in private organization/institution in DSM, please contact me via this JF platform. I'm available for the JOB. I have a first...
Nilituma maombi, nikapata email kwamba natakiwa kufanyiwa online assessmnets katika vitu vifuatavyo:
1. Abstract reasoning test
2.. Numerical test
3. Work related strength assessment
wadau...
Habari zenu marafiki... Kwa kifupi ninawazo la kufanya biashara japo mkononi sina pesa za kutosha. Nilipo mueleza baba leo amenipa hati ya nyumba yake nitafute mkopo benki. Sijui hata nianzie...
Wadau nimeajiriwa na kusaini mkataba ila kazi ni ngumu sana nataka kukimbia.sijui mnanishaurije coz kuna wengine wamenishauri nisiache coz mtaani ni pagumu xana
heshma yenu wanajf
kwa yoyote ambaye anaweza kupata gazeti la mwananchi la leo hii kuna post kudhaa zimetangazwa na:-
TANAPA
AICC
nimeshindwa kupost hapa coz cmu yangu kimeo
habari zenu wana JF naombeni ushauri, mimi ni bint wa miaka 24 mzaliwa wa shinyanga ila kwa sasa naishi arusha, naombeni ushauri maisha yamekua magum nilikuja arusha kutafuta kazi kutokana na hali...
Amenituma kumtangazia anatafuta kazi inayolingana na profession yake
je ni mashirika au makampuni gani anaweza kupata ajira?
Amamaliza kwenye chuo kikuu cha udom.
Wanajamii forums mmekuwa...
Wanajamvi habari za majukumu? Kuna jamaa yangu mmoja ana bachelor, ameepata jamaa mmjoja anayefanya kazi ILO akamwambia kuwa kuna nafasi ya kazi kwenye upande wa administrative ila anatakiwa...
Unfortunately the deadline is tomorrow. Don't let the requirements put you off - you all have excellent qualifications to do research.
Khulisa Management Services: Internship 2013...
wakuu habari zenu
nimekuwa ninaona mara kwa mara miradi inayofadhiliwa na world bank ya kimaendeleo kwa ajili ya kupunguza umasikini, ujinga na magonjwa duniani kote miradi hiyo ipo ya short...
Company:SUN SHINE GROUP LIMITED
Position:Assistant Administrator
Location:Morocco near Airtel bulding,Dar Es Salaam
Qualification: Over 2 years of secretarial and clerical experience in fast paced...
Kama miezi miwili au mitatu Kilimanjaro International Airport walitoa nafasi za kazi katika nafasi tofauti tofauti...mwisho wa kutuma maombi ilikuwa September(?)..mpaka leo hawajaita?au mwenye...
Niliomba kazi ya human resource pale udom, nafasi ni watu 9 lakini tuliokuwa shortlisted eti ni 712, jamani hii ni shortlist kweli au wanataka tukapoteze nauli zetu then mlacha awape kazi wapare...
Kwa wale walioitwa kwenye interview university of dodoma waangalie majina yao tena kwani kunalist imetoka baadhi ya majina hayaonekani, majina yaliyotoka mwanzoni yalikuwepo lakini list ya majina...
Wana Jf,hivi hii njia ya kusambaza cv ofisi mbalimbali hapa jijini kwa lengo la kutafuta kazi,hii njia ni sahihi kweli. Nasema hivyo kwa sababu mimi binafsi nimesambaza cv kwa wingi hapa...