Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wadau kama kuna school yoyote hapa DSM nipeni mchongo nikapige kazi ya kufundisha chem na biology nina BSc with education....................​waweza kuni PM
0 Reactions
10 Replies
2K Views
hellow wadau kama week moja iliyopita nilifanya interview kampuni ya multchoice(dstv) nafas za sales na nimefanikiwa kupata na tunatatikiwa kwenye training tarehe 23/11/2012, naomba anayejua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau, Mimi ni kijana niliye maliza kidato cha sita (6) mwaka huu. Kama kuna kazi yoyote ambayo unahisi inanifaa naomba tuwasiliane kwa mawasiliano zaidi. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Napenda kutoa ushauri kwa mtu yeyote anayetaka kufanya kazi nje ya Tanzania (Middle East, Europe, USA, Australia na Asia) ni kwamba kazi zipo hila watanzania wengi hatuna utamaduni wa kutafuta...
7 Reactions
37 Replies
9K Views
Wana jf hawa jamaa walitoa nafasi ya kazi data entry nikaapply via email, wamenijibu kama hivi; Dear Applicant: Thank you for submitting an application for the data entry position with...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JAMANI KWA YEYOTE ALIYE APPLY KAZI UBALOZI WA KANADA NAOMBA MSAADA JINSI YA KU APPLY MANAKE WAMESEMA HII NDO JISI YA KUAPLAI Application Instructions: Please send electronically your...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
jamani kilicho tokea leo temeke liwe fundisho kwetu vijana mke wa mtu ni sumu mbaya ambayo ikikupata hakika huponi hata chembe! jamaaa imemtokea poani leo..
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Heshima mbele wana'JF naulizia vipi kuhusu nafasi za kujiunga jwtz &jkt kwa professionals. Kwa karibu mwaka mmoja sasa nimekuwa nikifuatilia humu JF na information zilionyesha kwamba wangetoa...
1 Reactions
76 Replies
18K Views
Natafuta cashier katika duka langu la jumla la vinywaji na Luku lililopo Ubungo river side. muda wa kazi ni: tano asubuhi mpaka saa mbili jioni. kigezo cha chini Muhitimu a form four tafadhali...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
World Vision is a Christian Development, Relief and Advocacy Non Government Organization dedicated to working with children, families and communities to overcome poverty and injustice. World...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Sehemu ya kazi ni Mbezi Beach-Dar es salaam. Awe na umri kati ya miaka 22 na 30 Awe na uzoefu wa kazi za ndani na kulea mtoto wa mwaka mmoja. Awe anajua kanuni na sheria za kazi kama mfanya kazi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MARKETING AND ADVERTISEMENT AGENT BORNAGAIN FILMS PRODUCTION through its weekly news paper (TANURU LA FILAMU) is looking for right candidates to fill the post as ‘Marketing agents/...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf kuna nafasi za kazi kadhaa zimetangazwa kwenye daily news ya leo tar 6 febr,kwa anayeweza azipost hapa kwa ajili ya wale watakaoshindwa kupata gazeti
0 Reactions
25 Replies
17K Views
Post ni mbili ya Consumer Education Officer na Office Attendant. Leo ni kuandika tu. Applicants ni kama mia mbili hivi.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mimi ni msichana umri wangu ni miaka 25, nmesoma hadi kidato cha nne nina uzoefu kwenye matumizi ya computer, nmefanya kazi stationary miaka 3, nkawa secretary kwenye kampuni moja ya usafirishaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Company: Sunshine Pesticides (T) Ltd Position: Office Administrator (2 post) Location: Moroco, Dar es salaam Qualification: Degree or Equivalent experience Company: Sunshine Pesticides (T) Ltd...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naombeni mnijuze wanashughulika na nini?je hii cyo kampuni ya kuuza mabeseni kitaa?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Barua ya mhitimu Mzumbe University imeibua vicheko visivyo na mwisho kwenye idara ya utumishi hapa ofisini. ...........nawaibia kidogo tu! "....... I has a bachelar in accounts and finance...."
8 Reactions
130 Replies
12K Views
Wadau kwa mara nyingine tena Benki ya Wanawake (TWB) inawatangazia nafasi za kazi. Waweza tuma kwa Posta ila pia waweza kupeleka pale mapokezi kwao. Strictly kazi hizi ni kwa watu walio...
3 Reactions
14 Replies
12K Views
  • Closed
Requirements: Full technician certificate (FTC) from recognized technical college Technical certificate from other technical or polytechnic institutions (including VETA) Minimum 3 years of...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom