Wana JF, nimeckia kuna watu wameshaanza kuitwa kwenye interview udom, naomba kujua ni watu wa post gani na ni lini labda wataanza kuita watu walioapply Academic posts coz mimi ni miongoni mwa...
Habari zenu wanajamvi...
Natafuta nafasi ya kazi yeyote ile kwenye Idara ya ICT ya kampuni au shirika lolote. Nina Diploma in Computer Science from University of Dar es Salaam (2008). Nina uzoefu...
Poleni na uchovu wa kazi member wa jf. Naomba aliyewahi fanya interview ya kazi ya research katika hospital binafsi naomba anisaidie vitu vya msingi ambavyo wanauliza kwenye interview. Thanks
Ni ukweli kuwa tupita kipindi kigumu sana katika kutafuta ajira, na maombi mengi tunayatuma na wala hatuitwi kuja kufanya interview, na wakati huohuo maisha ni magumu kwa namna hii mtu lazima...
wadau baada ya first phase kuelekea ukingoni hapo kesho..second phase itakuwa shortlisted soon...
wanajamii forum jiandaeni mana wale wAzee wanauliza miswali khaa wanakaugomvi vile na wewe pitia...
The United Nations Democracy Fund invites civil society organizations to apply for funding for projects to
advance and support democracy. Project proposals may be submitted on-line between 15...
mimi ni msichana mwenye elimu ya form four, na nina certificate of elementary course in librarianship. pia nimesomea short course ya computer. na kazi ambazo nimewah kufanya nimewah kutoa huduma...
Nina elimu ya diploma ya IT natafuta kazi inayohusiana na mambo ya IT NINA UJUZI WA KUTOSHA pamoja na UJUZI BINAFSI uzoefu wa miaka nimefanya field shirika la posta na ilala municipal council...
Habari waungwana
Mwenzenu ni mjasiliamali hivyo nashughulika na mambo ya kutengeneza BATIK MATERIAL mbalimbali, kama kuna kampuni, watu, Ngo's wanataka kutengenezewa batik katika uniform zao...
INATANGAZA NAFASI ZA KAZI CASHIER NA SALES KWA UPANDE WA VODACOM M-PESA
SIFA ZA MWOMBAJI:
1. AWE NA ELIMU YA KIDATO CHA NNE AU CHA SITA
2. AWE NA UZOEFU UPANDE WA MAHESABU NA AWE AMEWAHI...
Habari za kazi wakuu, nimefungua site hii kwa ajiri ya kuwa inspire watu wanaotafuta kazi kwa namna mbali mbali, ikiwemo tips za interview, jinsi ya kuandika CV nzuri, motivational letter etc...
Nina shahada ya kwanza katika elimu,sera mipango na utawala (Bachelor of education in policy,planning and management) kama kuna mtu yoyote anakazi ya utafiti na anahitaji msaidizi au, mtu...
wakuu habari zen natafuta kazi yeyote inayohusiana na IT department.elimu yang ni ya certificate but nina ujuzi binafsi.msaada wenu tafadhali mi nipo dar
PSI Tanzania seeks a consultant to oversee the implementation of its qualitative and quantitative research portfolio.
The consultant will manage the relationship with the local research agency...
Qualified person will be employed as a COLLEGE LIBRALY.
REQUIREMENT:
1.'Diploma in libralian', 'Diploma in record management and libralian' or 'Diploma in information systems and record...
Wakuu habari zenu
nauliza hivi nafasi za kazi huko world bank na imf huwa zinatokaje na recruitment yao inakuwaje kuwaje?
Kwa sababu nimejaribu kwenda kwenye website ya world bank kama nitaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.