Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Vip EGPAF washaita jaman Interview pls tujuzane@
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi jamii forum.Continental Tobacco Tanzania is looking for Management Trainees qualifications Bachelor of Commerce(marketing) second class honours,Age 20-30 years. applications together with...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nilihitimu chuo kikuu mwaka 2011, nimesomea uhasibu, so far nimetafuta kaz bila mafanikio. Natafuta sehemu ya kuvolunteer.Please naombeni support yenu wana jf
0 Reactions
5 Replies
1K Views
I hane a bachelor degree of sociology with good GPA grade, I am patient with good observational skills and excellent communication skills.I Canhandle different kinds of people and ready tosolve...
0 Reactions
2 Replies
993 Views
Wana jamii nahitaji masaada kwa alie na mawasiliano ya aliye kuwa Waziri Mkuu Edward Lowassa anisaidie na shida na yeye jamaan
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kuulizaom , Hiv udom ile second phase shortlist inatoka lin?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ninauzoefu usio pungua miaka minne na nina elimu ya Diploma natanguliza shukurani
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sunshine Pesticide Ltd, Position: Transportation Assistant Experience in Transportation field, Female, Single, Good at Excel and Word, Careful and patient. Sunshine Pesticide Ltd...
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Nahitaji msaada kwa anaefahamu anwani ya Chuo cha ualimu Marangu kilimanjaro Marangu TTC
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Please! Kuna post flani nimetuma wameniambia niambatanishe two recomendation letters,now guys what are those letters? Wakuu nisaidieni kamanda wenu niweze kuwawakilisha,ili na mie nipunguze jam huku
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anaitajika Graduate Civil/ Water Engineer. Kwa Mawasiliano piga. +255 754 55 21 28. thank you. Thanking you all. Eng. Ameshapatikana , Tangazo limefungwa.
0 Reactions
0 Replies
763 Views
habari wanajamvi..nikiwa kama graduate katika fan tajwa hapo juu ninaomba kwa yeyote mwenye access na kaz zihusishazo field yangu anisidie. kuhusu experience ipo nitaweza kutuma CV kwa yeyote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kutafuta kazi na kuona kuwa ni ngumu nimeamua kujiajiri mwenyewe na naombeni tenda au dili katika mambo yafuatayo Electrical installation Electronics security systems CCTV Electric...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, naomba kujua utaratibu wa kupata mafao yako kupitia mfumo wa FAO LA KUJITOA. Je inchukua mda toka tarehe ya kuacha kazi. Coz nimeacha kazi hivi karibuni na nataka mkwanja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakuu! nilikuwa naomba kujuzwa kwa anayefahamu mishahara ya shirika la kazi ILO kwa Tanzania, kwa mtu anayeanza basic salary, akiwa na elimu level ya ka- degree kamoja! Asanteni.
1 Reactions
4 Replies
3K Views
wapendwa wangu nimejaribu kuangalia majina ya walioitwa kazini cijaona majina ya maafisa watendaji wa kata wala kijiji je kuna mwenye idea yoyote anipe ufafanuzi ndugu zangu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
wanajamvi, vp kuna any newz on access bank mwanza. Maanake nipo kizan sijui liendelealo. Mwenye kujua lolote anijuze. Nawasilisha....
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jaman mwenye taarifa ya lini wizara hii ina ajiri anipe taarifa..
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Serikali imekuwa ikitoa vibali vya ajira wizara ya afya kuanzia mwezi october mwanzoni mbona mwaka huu umepita bila kutoa vibali
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nime rushiwa mahali nami nimeisogeza humu. Kwa walio chini ya miaka 35 .. Kong'oli link hiyo...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom