Hi jamii forum.Continental Tobacco Tanzania is looking for Management Trainees qualifications Bachelor of Commerce(marketing) second class honours,Age 20-30 years.
applications together with...
Mimi nilihitimu chuo kikuu mwaka 2011, nimesomea uhasibu, so far nimetafuta kaz bila mafanikio. Natafuta sehemu ya kuvolunteer.Please naombeni support yenu wana jf
I hane a bachelor degree of sociology with good GPA grade, I am patient with good observational skills and excellent communication skills.I Canhandle different kinds of people and ready tosolve...
Sunshine Pesticide Ltd,
Position: Transportation Assistant
Experience in Transportation field,
Female, Single, Good at Excel and Word, Careful and patient.
Sunshine Pesticide Ltd...
Please! Kuna post flani nimetuma wameniambia niambatanishe two recomendation letters,now guys what are those letters?
Wakuu nisaidieni kamanda wenu niweze kuwawakilisha,ili na mie nipunguze jam huku
habari wanajamvi..nikiwa kama graduate katika fan tajwa hapo juu ninaomba kwa yeyote mwenye access na kaz zihusishazo field yangu anisidie.
kuhusu experience ipo nitaweza kutuma CV kwa yeyote...
Baada ya kutafuta kazi na kuona kuwa ni ngumu nimeamua kujiajiri mwenyewe na naombeni tenda au dili katika mambo yafuatayo
Electrical installation
Electronics security systems
CCTV
Electric...
Heshima mbele wakuu,
naomba kujua utaratibu wa kupata mafao yako kupitia mfumo wa FAO LA KUJITOA. Je inchukua mda toka tarehe ya
kuacha kazi.
Coz nimeacha kazi hivi karibuni na nataka mkwanja...
Habari za majukumu wakuu! nilikuwa naomba kujuzwa kwa anayefahamu mishahara ya shirika la kazi ILO kwa Tanzania, kwa mtu anayeanza basic salary, akiwa na elimu level ya ka- degree kamoja! Asanteni.
wapendwa wangu nimejaribu kuangalia majina ya walioitwa kazini cijaona majina ya maafisa watendaji wa kata wala kijiji je kuna mwenye idea yoyote anipe ufafanuzi ndugu zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.