Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

jaman hvi kutakuwa na fairness kwel kwa kila mkoa kufanya usail kwa applicant wa mkoa husika ? je utmish wataweza ku cover mikoa yote ya usail au ndo watu wa mikoa husika wta endesha usail bila...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kuna mwenye tangazo lililo kamili la hiyo kazi wadau, nimeiona zoom lakini jinsi ya kuapply hawajaweka(ipo tu ile ya kuapply kizoom zoom)! Msada kwa aliyeliona tangazo please!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jioni ya leo nimetumiwa ujumbe mfupi na afisa wa jeshi la polisi makao makuu kunijulisha kwamba natakiwa kuhudhuria vipimo vya afya ktk hospitali ya polisi kilwa road dar es salaam.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kwawenye kufaha sehem yenye ajira ya fundi sonara fafadhar anishitue in (chudukhamis@yahoo.com)
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi ajira mpya za sisi walimu wa digrii tulomaliza mwaka huu mwezi june ni lini ama hizo post za vituo..na walomaliza diploma pia ni lini ajira zao..nawasilisha wakuu..
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana JF naomba mnijulishe maswali yanayoulizwa na TUME YA AJIRA kwa wale waliowahi fanya nao interview ya utendaji wa kata.Nawasilisha
0 Reactions
2 Replies
2K Views
House Keeper SUNDHINE GROUP LTD Awe amesomea fani ya House Keeping katika chuo kinachojulikana Cooker SUNSHINE GROUP LTD Awe amesomea mapishi katika chuo kinachotambulika Pia kama umesomea mambo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
mwenye taarifa lini data entry ya nida inaanza lin anijulishe
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari wanajamvi.nimepata kazi kampuni moja la kibinafsi ,na gross yangu ni sh 800,000(before tax).je baada ya kukata nssf na makato mengine ntapata ngapi hapo wadau.naomba mnijuze
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Naomba kujulishwa kuhusu usaili wa written nhif uliofanyka kule ukumbi wa baraza la maaskofu kurasini walishaitwa kwenye oral? manake ni kamda kamepita tokea usaili huo ufanyike. Mtu unaweza kuwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Malimu mwenye uwezo wa kufundisha kifaransa katika shule za english medium anatafutwa.kwa mawasiliano zaidi wasiliana nami.au tuma maombi yako email- rugumba2joseph@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Morning fellaz,natafuta nafasi ya kazi ya librarian nimemaliza diploma ya librarianship SUA
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi Am Currently working with one of the NGOs Here in Tanzania as an accountant. I have have over five years Experience as an Accountant. I do have a Bachelor Degree but Currently pursuing my...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
THE OFFICE OF THE WHO REPRESENTATIVE IN TANZANIA ANNOUNCES THE FOLLOWING VACANCY. The Mission of WHO is the attainment by all people of the highest possible level of health POSITION...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Je unatumia nokia asha na inakusumbua katka kutumia kwenye mtandao Pilipili Print Solutons Tunauwezo wa kusolv tatizo lako kwa bei nafuu sana wasiliana nasi kwa 0718888656 0752507004 Tupo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wanajamii naomba kujuzwa kama kuna mtu anatarifa za interview ya maongezi baada ya zile za kuandika
0 Reactions
1 Replies
1K Views
A part-time pharmacist (registered by pharmacy council of Tanzania) is urgently required for supervision of a newly established pharmacy in Dar es salaam. Interested candidates please contact us...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hellow wanajamii Forum mtu yeyote aliyekuwa tayari kufanya kazi Ngara(In Kabanga Nickel Mining) na mwenye sifa asome tangazo hilo.Sorry hilo tangazo nimetumiwa likiwa limegeuzwa.Read and Apply...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Baada ya kupata ufafanuzi mzuri wa maswali yangu ya mwanzo naomba kuuliza swali lifuatalo kama Hivi huchukua mda gani katika sekretariti ya ajira toka usaili hadi kutangazwa matokeo ya usaili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WAUNGWANA NAOMBA MSAADA WENU, NAJARIBU KUFUNGUA HII DUCUMENT ILA KILA NIKIFUFUNGUA NAAMBIWA FILE ERROR. NAOMBA MNISAIDIE KULIFUNGUA THEN KAMA UTAFANIKIWA UNIWEKEE HUMU. FILE LIPO KWENYE...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom