Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

World Vision Tanzania is seeking to recruit a suitable candidate to fill the following position of Zonal People and Culture Officer Reports to: Zonal Manager Location: Dodoma...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
jamani wapendwa hivi mtu akichaguliwa kwenye post mbili na interview ikawa siku moja inakuaje?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani waungwana wanajamii wenzangu kuna nafasi ya kazi zimetangazwa kupitia gazeti la NIPASHE la leo fuatilieni muone na kuomba hapo kwani nimelisoma leo hii asubuhi nafasi zenyewe ni: 1...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Ndugu zangu wana JF, mimi ni mhitimu wa chuo kimoja hapa nchini,nimesomea mambo ya ujasiriamali haswa hivyo inabidi nijiajiri mara baada ya kuhitimu na muda wenyewe ndiyo huu. Ubunifu ninao tena...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari wadau wa Jf nauliz kama kuna mweny taharifa/habar kama wameanz kutoa temporary job kwa vijan wa Tz ujenz wa daraja Kigamboni? hope nitapata ushirikiano.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
This is URGENT...! Nafasi ni Moja(1) Kwa wale ambao wanaishi Mwanza wenye diploma ya Procurement chuo chochote naomba mtume Cover letter na CV zenu pamoja na attachment katika email Quton...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana jf naomba mnisaidie kwa yeyote anayefahamu kuhusu kampuni ya mafuta na gesi iitwayo CHEVRON COMPANY.Nimeitwa kwa ajili ya interview kama ass.accountant huko Lagos nigeria mwezi novemba.
1 Reactions
46 Replies
6K Views
Wakuu najua kuna wafanyakazi wazoefu sana humu jamvini. Mimi na mke wangu tumeajiriwa na shirika la kidini tunatarajiwa kwenda likizo soon. Tunamtoto mmoja. Napenda kujua zipi ni haki zangu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Teaching Certificate and Diploma send cv and academic transcript to "whitebobby@yahoo.com",GPAmin3.5
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa yoyote atakayepata apdate ya interview kwa mikoa kama dar klm tanga na Arusha tujuzane plz.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jaman wale tuliofanya interview NIDA ya data entry mbona kimya nin kinaendelea
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Dear friends,take note of the following vacancies at KCB Bank Tanzania ,if you know anyone who is qualified please ask him to wire us through dkondo@tz.kcbbankgroup.com(Please Cv only) point to...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
Istituto Oikos http://www.istituto-oikos.org/ is an Italian no profit association that works in Europe and in the developing countries to promote environmental conservation as tool of...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
NI KIJANA WA KIUME MIAKA 23 NINA CERTIFICATE KUTOKA IFAKARA HEALTH INSTITUTE.PIA NINA UZOEFU WA MWAKA MMOJA KATIKA KAZI HII.SO FAR NI MTAHALAMU WA MASWALA YA INTERNET...
0 Reactions
1 Replies
951 Views
UNDAP ENVIRONMENT AND CLIMATE CHANGE GOVERNANCE PROJECT COORDINATOR- ZANZIBAR United Nations Development Programme (UNDP) Tanzania invites applications from qualified Tanzanians to occupy the...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
nini maana ya TD-MO.. nimeikuta mara kibao kwenye matangazo ya kazi let say mwishoni wana sema If you are interested in this position, please send a cover letter and your detailed CV indicating...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NI KIJANA WA KIUME MIAKA 23 NINA CERTIFICATE KUTOKA IFAKARA HEALTH INSTITUTE.PIA NINA UZOEFU WA MWAKA MMOJA KATIKA KAZI HII.SO FAR NI MTAHALAMU WA MASWALA YA INTERNET...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau sory kama kuna yoyote mwenye taarifa kama nhif walishaita watu kwa oral interview baada ya writen.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana Jf. Naomba kuuliza kwa mwenye taarifa kuhusu matokeo ya interview ya pili ya IT OFFICERS ya CRDB BANK anijuze tafadha! Natanguliza shukrani zangu!
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Back
Top Bottom