Kwa upeo wangu mdogo, nadhani kwa kuwa serikali ilifikiri kwa kina au ilikopi na kupest mfumo huu toka nchi nyingine na kujaribu ufanyia kazi utakuwa sio mfumo sahihi, huwezi ita watu 140 kwa post...
mimi ni kijana wa kiume by name Tutajuzana, nimemaliza elimu yangu ya chuo kikuu katika idara ya mipango na maendeleo (planning and development) kwa yeyote ambaye atanisaidia kwa hili please do...
Kwenu wanajamvi,
Natafuta kazi yeyote inayohusiana na IT iwe kudesign au kufundisha yote sawa, nipo dar, naombeni msaada wenu. Elimu yangu ni ngazi ya Diploma.
Nawasilisha
Hi wanajf, mie ni kati ya waajiri ambaye 2 weeks ago hivi nilitangaza kazi zoom, na ninavyojua pia humu zinakuwa posted too.yaani nimeamua tu kuwasaidia wadogo zangu au watz wenzangu kuhusu suala...
Wadau ni mwezi wa tatu huu hatujapokea mshahara sisi wafanyakazi wa UDSM na DUCE, tunaongea na uongozi wa Chuo wanashindwa kutupa jibu Sahihi. Mishahara yetu imeenda wapi? Mtu yeyote anayejua...
Nimeitwa kwenye usaili na hawa jamaa,ingawa nimeperuz kwenye website yao,ila naomba mwenye kuijua kwa undan aniambie hapa,hata na scale zao zikoje kwa graduate,as long as hili ni shirika la KIMATAIFA
Nashangaa sn ninapomuona mtu kamaliza chuo halaf anajua atapata ajira hatafut wala nn wkt watu wanakaa hd miaka mitatu bila kupata kazi lakin huyo mtu anakuwa na iman kuwa ataitwa tu cku moja...
Habari za leo wana JF,Naulìza kama muajiriwa wa halmashauri amejiendeleza katika fani ambayo ni tofauti na aliyo ajiriwa nayo. lakini hiyo fani mpya haina idara katika halmashauri husika.je...
Kwanza nawashukuru sana member wote wa JF kwani nimekuwa nikijifunza mambo mengi sana kupitia huu mtandao.mi nipo mwaka wa mwisho nategemea kumaliza mwezi wa 7,je nikimaliza naweza kupata kazi...
Supplies Officer
Driver
Secretary
Senior Planning Officer
Senior Business Analyst
Air Transport Regulation Officer
Detail zaidi tafuta Mtanzania ya tarehe 4/10/2012
Wadau nimemaliza IFM hapo Bachelor of Science in Taxation 2011.
Natafuta kazi. I would fit well in Auditing firm, Accounting firm just to cite few.
Kama kuna mtu anaweza nisaidia kwa namna yoyote...
Nikiwa Kama Kijana Ninayejiandaa Na Maisha Ktk Ujasiriamali,Mtaji Wangu Ni Laki Mbili.
Kwa Pesa Hzo Niko Njia Panda,Kipi Chenye Soko Kubwa Kati Ya:
-Ninafikiria Kununua Digital Kamera Ili Niwe...
Mimi ni mwanafunzi nasoma Public Adminstration moja ya vyuo vikuu hapa dar, ndo naingia mwaka wa 3 namalza chuo mwakan mwezi wa sita. Ninataka nianze kuomba kazi yoyote ile itakayo tangazwa kabla...
Requirements:
Candidates must have a minimum of a University degree in human resources management, Public or Business Administration or management or related disciplines.
An advanced University...
Responsibilities
Under the supervision of the Chief Building Management and Transport Unit the incumbent will be responsible for the following:
1. Supervision of Logistics Assistant...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.