Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wana JF,huwa natumiwa mara nyingi kwenye email na hawa jamaa,eti wanahitaji translator online,kwa anaejua hizi kazi za translator zipo kweli?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kwa wale wadau walioomba ingieni website ya utumishi
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana JF, Hivi ikitangazwa ajira ambayo requirement mojawapo ni experience,ikiwa fresh graduate akaomba ajira hiyo, Maombi yake yatashughulikiwa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
hi, nimeona utumishi wameita, ila naomba kuuliza usaili huu ni wa tangazo la lini? au wa zile ajira 2000 za may 28?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mi sielewi utaratibu wa tume ya ajira kwenye kuita usahili 1)wanaita kulikana na tarehe ya tangazo yaani FIFO? 2)wanaita kulingana na na kipaumbele cha kazi yenyewe? 3)wanaita kulingana na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye project yoyote ile ya technology kama vile PHP,java, MYSQL IOS Android(mobile application) tafathali piga 0719970343 hata kama unataka training au support (Cisco, Open source softwear...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Aliyetayari kubadilisha kituo cha kazi kutoka sehem zifwatazo: PWANI,KIBAHA,BAGAMOYO,WILAYA YA TEMEKE kwenda halmashauri ya CHATO, ani pm.SPECIFICALLY AGRICULTURE OFFICER II (afisa kilimo II)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwale waliofanya usaili kwa mwezi wa Agasti 2012 majina haya hapo pitia
0 Reactions
3 Replies
2K Views
kuna nafasi ya kazi nimepata sudan,kwa kuunganishwa na mtu lakini wananiambia natakiwa nimpe huyo mtu laki tano baada ya kupata ticket ya kwenda huko sudan kuanza kazi,na malipo yatakuwa ni US$...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, Bw. Xavier Daudi amesema ofisi yake hivi sasa itakuwa ikitoa ratiba ya usaili mapema kila mara ili kuwawezesha wasailiwa kuwa na muda wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wana JF naomben taarifa cz cjasikia kuitwa kazin wala interview tangia hyo may za maafisa tarafa na zile za june kulikon/?MWENYE TAARIFA ANIPE PLZ
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenye project yoyote ile ya technology kama vile PHP VOIP MYSQL IOS Android tafathali piga 0714827339 hata kama unataka training au support (Cisco, Juniper, Open source softwear distro yoyote...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 42,NATAFUTA KAZI YOYOTE ILE,pia naweza kupatikana kwa email hii kachelenga@ovi.com
0 Reactions
4 Replies
2K Views
ni mwalimu mzuri wa biology na chemistry O level, nina uzoefu wa kufundisha kwa miaka 2 nataka kuhama hapa nilipo, naomba mwenye msaada awasiliane nami kwa pm,nawashukuru nyote
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa kitanzania, ,miaka 25, nina degree ya Accounting and Finance 2011..Natafuta sehemu (kampuni au taasisi ) ntakayo weza kujitolea, kufanya part time au kazi kwa mda ili kuweza...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale waliomaliza shahada ya ualimu (especially wale wanaofundisha physics) katika vyuo vinavyotambulika na bado wanasubiri kupangiwa nitafute nikuunganishe na shule moja ya private -iringa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hivi zile za B.O.T ndio tayari watu wapo kazini au?
0 Reactions
0 Replies
801 Views
Nafasi muhimu kwa ajili ya mjasiriamali zipo Tunafanya Business na kampuni kubwa duniani ambayo ina matawi mengi sana na kwa Tanzania yapo matawi matano. Aina ya Business: Multilevel Business...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu, kuna jamaa yangu ameitwa kwenye round ya pili ya interview EAC sasa wamempa fomu ajaze pamoja na mambo mengine Mshahara anaohitaji. Anaomba ushauri wa range kwa mtu mwenye Masters Degree...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wadau waliomba kazi kupitia utumishi tembelea website yao
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…