Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

nimefeli 4m4 mwaka jana nimepata divisio 4. Naombeni msaada nijiunge na coz gani ili nipate ajira nzuri.
1 Reactions
10 Replies
9K Views
Wadau, Wanahitajika watu wanaozungumza kugha hizo kwa ajili ya mradi wa tafsiri. Kama wewe ni mmoja wapo au unamjua mtu anayezungumz alugha hizo tafadhali Ni PM au nitumie ujumbe kwa kutumia...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini bana!! Tulianzia hapa. Ahsanteni kwa wooote mliochangia ule uzi!! Sasa yule mshkaji wangu kumbe ni mimi mwenyewe, nilipiga simu jamaa wakaniambia boss kaondoka na atarudi baada ya siku...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Wadau nilikua nauliza kama kuna mtu yeyote ana updates za watu kuitwa kwenye interview AKIBA COMMERCIAL BANK
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Date Listed: Jun 13, 2012 Application Deadline: Jun 22, 2012 DUUH! MPAKA LEO JAMANI, NDO KUNAFANYIKA SHORTLIST AU TAYARI WALISHAANZA WATU KAZI AU NDO KASHIFA ZA NISHATI NA MADINI ZIMESIMAMISHA...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
CINEPLAY MEDIA GRUOP COMPANY LTD Marketing Officer - 3 Posts BBA or equivalant required Minimum 3 years experience Network Administrator - 2 Posts Appropriate Bachelor Degree, IT Experience in...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
JOB OPPORTUNITY:Senior Legal Officer Position Description: Ref No WVT/P&C/F12/105 Job Title: Senior Legal Officer Reports to: People and Culture Director Location: Arusha Purpose of the...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani mi natafuta ajira mwenye nayo aniajili.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Apply now for 2014 masters studies in AUSTRALIA,in fields like AGRICULTURE/FOOD SECURITY,HEALTH,NATURAL RESOURCES AND PUBLIC POLICY...deadline December act fast for a better future,..,,click here-...
4 Reactions
19 Replies
4K Views
Tunahitaj. vijana wanao veza ku sambaza viperushi. AU Kama kampuni wanayo fanya kazi hii. Plz message me ! KAZI YA Kusambaza Viperushi (Distribution of Brochures/Fliers)
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna watu kazi wamepigiwa simu na gep kupewa taarifa ya kuitwa kwenye interview
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MATOKEO YA WALIOFAULU USAHILI UHAMIJI YAMETOKA. YANAPATIKANA GAZETI LA MWANNCHI LA 7/09/2012. AU KWENYE TOVUTI YAO www.immigration.go.tz
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Naombeni tujuzane kwa hilo hapo juu
1 Reactions
44 Replies
12K Views
Habari zenu wana JF, natumaini muu wazima wa afya! Ndugu zangun mm ni muhanga wa ajira, ninawaombeni kwa yeyote humu anaefahamu sehemu yenye ajira za Mining Engineering naombeni anijulishe. Nina...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jamni naomba mnijuze nasikia kuna ajira zimetoka za maafisa takwimu,vifaa,,ni kweli plz anayejua anisaidie
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Naomba kujua hawa jamaa wanalipaje kwa Bachelor holder pamoja na marupurupu mengine, pia kama una information zao zaidi unaweza nipa. Naomba kuwasilisha.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
wana JF naomba kuwasilisha, kama hamjui the best paying government institution may be after TRA ni LAPF (local authorities pension fund) mana hata ukiwa ni mfanyakzi wa kawaida mshahara ni mnono...
1 Reactions
47 Replies
9K Views
Hello wadau, Pitieni kazi hii, na wale wenye sifa muapply. Kazi ni kwenu sasa. CAREER OPPORTUNITY: Maintenance Supervisor Kabanga Nickel Co. Limited is a Tanzanian-based company managing the...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
wadau et mshahara zantel kwa post ya cashier na asistant accountant ni sh ngap? Anayefahamu plz,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Katika search yangu nikakutana na website fulani, basi nikajionea mwenyewe kumbe inaezekana lakini ni baada ya mda kweli wa kutafuta... Jaribu na wewe... click the link ujionee. IncomePart.com...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom