Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Kama unahitaji part time tutor in PHP an Mysql Database aruond DSM area au una kazi inayohusiana na profession hiyo tuwasiliane kwa namba hii: +255767 458197
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari! Nina shahada ya uhasibu, kwa sasa nahitaji kufanya kazi kwa kujitolea bila mshahara ili nipate uzoefu wa kazi kwa taaluma ya uhasibu,kuliko kupoteza muda bila kuongeza chochote...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu heshima mbele, naomba msaada wa kujuzwa zilipo ofisi za Proactive Employment Service (PES) namaanisha kituo cha kushukia pamoja na jengo waliopo linaitwaje,natanguliza shukrani wakuu!
0 Reactions
0 Replies
745 Views
wadau mambo vipi hawa jamaa wameshaita shortlist au bado nauliza wakuu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
UNATAKA KUAJIRIWA,Tembelea hii link IncomePart.com Earn Money by referral links - 1$ per visit utapata ajira
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:flypig:natafuta kazi kwa new qualified staff secretarial jobs.
0 Reactions
0 Replies
923 Views
haya jamani baada ya kusubiri sana ajira kwa njia halali sasa natangaza ofa ya pesa japo kiduchu tu kwa mtu atakayefanikisha kupata kazi. changamkieni fasta wadau. Nasubiria PM zenu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Employment Type: Full-Time...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kazi ndio hizo Teaching jobs at the University of Dodoma Atafutaye hachoki
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wanajamii naomba msaada kwa mtu mwenye anaweza kunipa direction namna ya kupata kazi za udom please ni pm.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
1. Instructor in web design and database principles: Qualifications; -Must have Advanced diploma in Computer science/ Bsc. in computer engineering and IT/ Bsc. in Computer science/ Bsc. in IT...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu natafuta kazi nina degree ya human nutrition pia nimesoma courses za food science and home economics, kwa yoyote anayeweza kunisaidia ani pm. shukrani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari Ndugu zangu Naitwa Emanuel Natafuta kazi Nimesoma mambo ya IT KWA level ya certificate'
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wadauangalieni kazi hizi hapa mwaweza bahatika http://referraltask.com/ref.php?page=act%2Fref&invcod=135590
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau, naombeni kama kuna mtu ana info kuhusu hawa jamaa kama wameshaajiri, mana nilirusha CV yangu hapo ya tutorial!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
ENERGY SERVICES LTD URGENTLY WANT TO EMPLOY A PROCUREMENT AND SUPPLIES MANAGER WITH A MINIMUM EXPERIENCE OF 2YRS. SEND YOUR CV TO contact@energyserviceslimited.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi ni mwalim mzoefu wa kufundisha watoto, natafuta kaz. Naomba tuwasiliane anayeweza kunpatia kazi hiyo.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nimebahatika kufanya kazi ya sensa hapa jijini Dar japo nililoshuhudia Makarani wengi wamepachikwa na wametumia majina c yao cz wamefoji Elimu hivyo wengi hawawezi kazi na wengine wamekimbia...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
natafuta kazi ya kufundisha economics katika chuo chochote cha business or high school kwa mkataba wadau naombeni mnisaidie.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau kama kuna yeyote aliyeomba kazi tasaf vipi wameshaita watu kwenye interview
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom