KUNA SHIRIKA MOJA LA MOJA UMMA NIMEFANYA NALO INTERVIEW SASA WAMENIITA KUWA NIRIPOTI KAZINI NA MSHAHARA WANGU UTAKUWA NI PGSS 10 lakini hawajataja kiasi pse unaweza jua PGSS 10 ni kama ni sh ngapi...
MaHR wote mnaowaita watu kwenye usaili wakati kuna mtu wenu mmeshamuandaa mlaniwe na Mungu, machozi ya wale wote waliopoteza nauli zao kutoka Katavi, Kibondo, Namtumbo na kwingineko mbali kufuata...
Hello wanajamvi, Poleni na majukumu.
Naombeni msaada wenu, hivi hapa Tanzania kazi zinatafutwa vipi, hasa za makampuni binafsi?
Mimi ni graduate na registered civil engineer, nimejaribu kutafuta...
Nahitaji mwalimu wa kufundisha Tuition kwa mtoto wa darasa la saba English medium schools kwa somo la mathematics maeneo ya Mbezi ya Morogoro Road.Ni-pm kwa maelewano ya kulipana.
For job seekers follow this link you will be hired soon, Dont waste time act now... ReferralTask.com Earn Money by inviting - 1$ per referral link visit
Ndugu zangu naombeni
kujua mshahara ambao
serikali imeweka
namaanisha net salary
ambao fresh graduates
wanapaswa kulipwa pindi wanapoajiliwa ni
shilingi ngapi?
Hasa waliosoma masomo ya...
Wadau,
Mimi ni mwalimu wa Physics/Chemistry natafuta kazi private sector.Nimekuwa serikalini kwa miaka takribani minne na ninahitaji kubadilisha ajira.Kwahiyo kama wewe unahusika au unamiliki au...
An interesting and challenging accountant vacancy is available at an IT firm specializes in marketing, sales and marketing of the custom software products. The candidate is expected to poses the...
Katika Hekaheka Za Utafutaji Sasa Niko Nje Ya Nchi Nimeajiriwa sasa Nina Laki 3 Tsh Ila Nahitaji Kurudi Tz Ili Nijiajiri.
Kwa Uwezo Wangu Mdogo Wa Kufikiri,ninampango Wa Kujumua Viatu Mbeya...
Kazi nyingi chuo kiku cha Dodoma
East Africa Job Board::Free jobs for all in Kenya,Tanzania,Uganda,Rwanda and South Sudan: University of Dodoma, Administrative Posts massive recruitment(TANZANIAN...
Wadau naomba kufahaishwa kama tayari ajira za ualimu wa secondary kwa mwaka huu zimeanza kupangwa au bado. Maana najua mwaka jana watu walisubiri mpaka mwezi wa kwanza mwaka huu. Wenyefununu...
ENERGY SERVICES LTD URGENTLY WANT TO EMPLOY AN ACCOUNTANT/AUDITOR WITH A MINIMUM EXPERIENCE OF 2YRS.
SEND YOUR CV TO
contact@energyserviceslimited.com
OR
kderua@yahoo.com