Mimi nimemaliza kidato cha nne miaka ya tisini. sikufanikiwa kuendelea na masomo kutokana na matatizo ya kifamilia.
Na sasa nina familia tayari swala la kurudi shule naona kama ni gumu kidogo...
Jaman watanzania kuna sponsor kwa ajili ya wanawake na wale wote wenye ulemavu kusoma hapa nchini, Tafadhali mjulishe ndugu yako afungue website ya Utumishia http://www.utumishi.go.tz au...
hello wana jf?natumaini mu wazima.Naomba msaada wa kujua kiwango anacholipwa project coordinator.Najua humu kuna watu wa nyanja mbalimbali watanipa mawazo.ahsanteni.
Are you an experienced Internal Auditor?CPA(T) holder?motivated to work with an International Organization and with at least 4 years working experience ? If Yes!confidently apply to World Vision...
Habari za majukumu ndugu zangu nilikuwa naomba mwenye taarifa kuhusiana na nafasi ya kazi ya IT SPECIALIST wa TRA SACCOS tulio fanyaga interview pale TRA katika chuo chao cha kodi kilivhopo mwenge...
A publishing company in Dar es Salaam is looking for a graphic designer:
Requirement:
Competent with Adobe Suit Case, In design, Photoshop, Illustrator.
Period:
One month, and operating...
1. Links za nafasi mbali mbali za kazi:
AJIRA TANZANIA
2. Writing Good Cover Letter:
COVER LETER | AJIRA TANZANIA
3. Writing Good Curriculum Vitae
WRITING CV | AJIRA TANZANIA
4...
Heshima mbele wakuu,mwenzenu natafuta kazi customer care,reception or office attendant nina diploma,iwe sehemu yoyote Moshi,arusha kokote na nina ujuzi wa computer.
Naombeni msaada wakuu,nawasilisha!
Heshima mbele wakuu,mwenzenu natafuta kazi customer care,reception or office attendant nina diploma,iwe sehemu yoyote Moshi,arusha kokote na nina ujuzi wa computer.
Naombeni msaada wakuu,nawasilisha!
ANGALIA JINA LAKO HAPA CHINI NA PIA KTK PDF FILE ATTACHMET
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/C/19 27 Julai, 2012...
I am a Tanzanian man aged 37 years, who recently completed a degree course in Bachelor of Education in Arts, where I majored in English and minored in Geography. I have more than 10 years...
Wakuu nina masters ya water Engineering toka huko ughaibuni,sasa baada ya kutua bongo,sijui bado michongo ya kazi inakuwaje,Please anayeweza kunipa hata ushauri nianzie wapi ani-PM manake nimekaa...
Wadau hii kweli ni haki?tangu waalimu waajiriwe february hadi leo hawajalipwa pesa za nauli,mizigo na wategemezi wao huku wakipigwa danadana wasijue nn cha kufanya|ama kweli inatia uchungu by...