Habari wan jf kuna ndugu yangu aliomba utumishi akatumia transcripts ameitwa kwenye interview bila hata kujali kile kipengele cha transcripts is totaly prohibited lakini kapata nafasi uzuri tayali...
POST: - BANK TELLERS (11 POSTS)
the position reports to the supervisor, cash and customer service and will be carrying out the following responsibilities:-
Provide quality service to Customers...
Habri wana JF.
Ndugu zangu nina diploma ya Eletronics & Telecommunication Engineering. Nina uzoefu katika installation,maintenance and commissioning of RF and Microwave link katika minara ya...
Kwa Watanzania:-
East Africa Job Board::Free jobs for all in Kenya,Tanzania,Uganda,Rwanda and South Sudan: SALES EXECUTIVE at Precision Air Services in Tanzania,Dar
Baraka tele
mtu akiwa na degrii 2, nafasi zikatoka serikalini zenye sifa zake ila wanahitaji mwenye degrii moja. huyo mtu akaamua kuomba hiyo nafasi kwa kutumia digrii ya kwanza akafanikiwa kupata hiyo...
Habari wakuu,
naombeni msaada. nimeitwa kwenye interview BHC wamesema itakua ni written na pia discussion ya roles za hiyo kazi. naombeni mnipe angalau mwanga kuwa huwa inakuaje. plz plz...
our sister company sokoni advertisers is looking for a salesman/woman who will be paid on a commission base, if intrested please send your cv to mujeeb986@yahoo.com
Habari wakuu wote.
Ukisikiliza Clouds Fm wanatangaza kuwa secretarieti ya ajira na wizara ya fedha wametoa nafasi za kazi lakini ukitazama website www.ajira.go.tz iko suspended na Public Service...
We are looking for a graduate civil engineer,quantity surveyor or an architect to join our company for the ongoing project.FTC holders may also apply.Send your cv to propertysolutiontz@gmail.com
Kazi kwenu wa Tz, mimi ninachojiuliza ni kimoja tu, Je hizi nafasi walizo Re-advertise,inamaana zilikosa wenye vigezo au watu hawaku-apply kabisa ama Waliajiriwa watu kujazanafasi hizi ambao sasa...
Bado kuna baadhi ya watu wanaendeleza rushwa ya ngono hasa maofisini.
Mbunge wa Kawe Halima Mdee amewataka Wasichana kujiamini na kutokutegemea kutoa Rushwa ya Ngono ndipo watimize ndoto zao za...
Samahan wakuu mimi ni muhanga wa ajira hapa nchini na jana nimesikia tichaz wamegoma je wamegoma mpaka kuhesabu watu ili sisi tusio na ajira tujue kama tutapata japo kanafasi maana matichaz ndo...
Samahani wakuu mwenzi uliopita kuna ndugu yangu aliitwa kufanya interview ya customer care vodacom na hii kampuni na walifanya written interview wakaambiwa wataitwa tena kwa oral interview je huwa...
Yaani tangazo la kazi limetoka, umetuma maombi, after a month and more umepigiwa simu uende kwenye interview, umefanikiwa kwenda, baada ya interview wamekupenda na wamekupa kazi na inbrief baadhi...
Wadau,
Nani anafahamu kama bot wesha short list zile kazi wametangaza hivi karibuni??? Au huwa wanachukua muda gani kutoa short list???? Deadline ilikua july 20,2012..asanteni wadau.
kuna mashirika ya umma kama tanapa, tra n.k. je mashirika haya wanaajiri watu baada ya muda gani?. TRA walimfanyia oral interview rafiki yangu mwezi mmoja umepita hakuna feedback yeyote. TANAPA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.