Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

nisaidieni mbinu za kushinda kazi
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu wana jf naomba kwa yeyote aliyeripoti kwenye kata kwa ajili ya usaili wa kazi za ukarani wa sensa mtujuze nini kinaendelea.vigezo gani wanataka na maswali wanayouliza.huku mikoani bado kimya.
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Naomba msaada wapendwa, anayefahamu vizuri hii tume ya mionzi, kwani nimeitwa kwenye usaili next wk, na wanasema kwa nafasi niliyoomba mshahara ni PRSS 1, nini maana yake? Na vp maslahi mengine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
kuna tetesi majina yanabandikwa leo j3 na interview kufanyika leo lengo kupunguza idadi ya watu. ANGALIZO FATILIENI SANA LEO OFISI ZA KATA.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi jamani inaingia akilini kweli pale ambapo viongozi wa serikali wanaposhindwa kuwaeleza wananchi umuhimu wa sensa na kuishia kuwapiga mkwara kuwa watakwenda jela miezi sita au faini lakini...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Wakuu ikitokea wewe au mimi mwenye degree tukakosa/nikakosa nafasi ya kazi ya SENSA alafu form six and form fours wakapata,what is going to be your opinion?
0 Reactions
45 Replies
5K Views
wakuu mimi ni mmojawapo kati ya walioitwa kwenye interview ya Accounts assistant na TANAPA, sasa this is my 1st interview, wataalam na wazoefu wa hizi vitu naombeni ma skills ili nikachukue ofisi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
jaman msaada hivi swali la mtu kujiintroduce mwenyewe lapaswa kujibiwaje? na nisaidien link ya kutafuta maswal na majibu ya interview,msaada tafadhali!!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani huu ni uhuni ulioje, . . Ofisi za manispaa ya morogoro mjini ndiko watu walipochukua fomu za kazi ya muda ya sensa kama ilivyo,sasa tupo katka ofisi hzo kama eneo letu la field na sisi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
not later than 7th August 2012 NATIONAL UNV INFORMATION TECHNOLOGY SPECIALIST Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA) The United Nations Volunteers is the UN organization...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
naombeoni update za majina ya makarani wa sensa dodoma mjini yamebandikwa wapi?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
polen na kazi. juzi wilaya ya Rungwe Tukuyu walibandika majina ya wasimamizi wa zoezi la sensa. baada ya siku 2 taarifa zikaja kuwa majina hayo yalikuwa batili kwa sababu waliwaweka walimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani kwa wale wote walioapply bank teller na bank officer nmb southern region vp watu wameshaitwa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa yeyote anayehitaji MACHINE ya aina yeyote ile, tuwasiliane hapa hapa JF nitampa mwongozo wa jinsi ya kunipata au kuipata, kwa aliye serious anitumie mawasiliano yake kwenye PRIVATE MESSAGE...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
SAMIDA ENTERPRISES
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani dah natafuta kazi nasoma open university bacherol of education.a level nimemaliza azania sec. nipo ready kwa kzi yoyote yenye malipo mzuri.naitwa ibrahimu a. daud contact 0717-927771
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jaman naomba kuuliza kama ujatokea knye usail unafanyaje?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina masters yangu ya Logistics,nimeifanyia Canada,na First degree yangu ni ya Accounts nimeifanyia Australia,working Experience 3 Yrs now,nafikilia kurudi nyumbani nimechoka kukaa ukimbizini kwa...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Kwa wale tulio Singida tuendelee kujuzana jamani walau kuhusu muda wa kuanza mchakato wa usahili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom