Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Position Description: World Vision Tanzania is seeking to recruit a suitable candidate to fill the following position :( Tanzanians only) Job Title: Administration Assistant (2 positions)...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
natafuta kazi ya kuwa match analyst wa mechi za ligi kuu ya tanzania. ningependa kuwa mchambuzi wa mechi zitakzochezwa ili zichapishwe kwenye magazeti na mitandao ya michezo....
0 Reactions
0 Replies
956 Views
hapa inakuaje maana kata nzima majina yaliyotoka ni dodoso fupi wanajamii ufafanuzi plz!
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Nafasi muhimu kwa ajili ya mjasiriamali zipo Tunafanya Business na kampuni kubwa duniani ambayo ina matawi mengi sana na kwa Tanzania yapo matawi matano. Aina ya Business: Multilevel Business...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Kuna kijana mmoja alitokea hapa kwenye kibarua changu akanielezea anahitaji ajira. Akaacha wasifu wake CV nikapitia nikaona ana degree Bachelor of Business Administration kwa mujibu wa CV. Sasa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
wana jf,naombeni ushauri/msaada wenu nna degree procurement+cpsp but mpaka sasa hivi sijapata ajira ya kudumu,niliajiriwa kwa mkataba kampuni moja ya serikali wakaniahihidi kibali kikitoka...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mimi ni mhitimu wa shahada ya kwanza ya Utumishi wa Umma. Kutokana na kazi nyingi kutangazwa kwa vigezo vya uzoefu,nimeamua kutafuta pahala nikajitolee nipate uzoefu angalau kwa mwaka mmoja ambapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF, naomba niwashirikishe uzoefu wangu japo kidogo tu. Nilipokuwa nasoma elimu ya juu nilikuwa nikipewa jumla ya sh. 420,000/- kwa semister moja yenye siku 120 kama pesa ya chakula na sponsor...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
habari za kutwa. Mbeya Rungwe 32000 per day baada ya kutoa 3000 chakula. je kwa waliopata sehemu zingine ni kiasi gani? naomba jibu wadau kwan tetesi ni nyingi sana
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman wanajamii natafuta kazi ya aina yoyote ilimradi iwe halali
0 Reactions
3 Replies
2K Views
haitakivi qualification yoyote. ni kazi ya kusaidiya na utapata ujuzi kwenye kazi la maozo la bidhaa ya ujenzi... tumia cv au introduction kwenye email hii- info@decortz.com
0 Reactions
9 Replies
4K Views
We are doing a low cost housing project,We need to buy a tanker of creosote. Please can you kindly assist me as to where we can source creosote in Tanzania. PM me if you know any supplier in...
0 Reactions
1 Replies
994 Views
naomba kwaanae fahamu bey za betkava anajulishe awuzile blanketi nzito zamanyoya nazinapatikana wapi kwahapo daa
0 Reactions
1 Replies
882 Views
Jaman tujuzane ndugu yangu maana nasikia dsm wao kimesanuka tangu jana vp watu wa moshi kila nikienda ofisi ya mtendaji hayupo tushirikiane kupeana taarifa katika hili
0 Reactions
18 Replies
2K Views
naomba mtu wa kunisaidia kulipa ada ya chuo kwasababu ya mama angu kushindwa kunilipia,nina mzazi mmoja tu ambae ni mama angu istoshe nina wadogo zangu ambao wanasoma sekondari katika shule ambazo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wadau kwa wale walioapply nhif
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Jamani wengine sensa ndo kama hivi imetutema kama kuna mwenye kamchongo kengine ka kusogezea siku vyuo vifunguliwe ajimwage basi maana :lalala:.......
0 Reactions
0 Replies
849 Views
Habari za asubuh wanaJF, ni mmoja kati ya wa2 wanaoathiriwa na ugonjwa wa ukosefu wa AJIRA hapa nchini hvyo nimekaa na kufikiria nikaona ni bora niombe ku2mikia ofic za watu hata kama ctalipwa ili...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Job Title: Diabetic Programme Manager Job Location: Kilimanjaro Christian Medical Centre, Moshi, Tanzania eports to: Head of Eye Department, AusAID Donor, Head of Diabetic Clinic, Background...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
NILIKOSA kazi ya kuhesabu kura, sasa nimekosa kazi ya sensa, sababu ni kukosa referee maana nina elimu ya shahada.sasa nimeamua kijipanga na kuanzisha chama cha marefaree kwaajili ya wanyonge kama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom