Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

1 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na. EA.7/96/01/C/19 27 Julai, 2012...
0 Reactions
3 Replies
19K Views
Jamani wana JF, tume ya ajira wameita watu kwenye interview. Tafadhali tembelea web yoo hii PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS au fungua attachment utaona mambo
0 Reactions
1 Replies
2K Views
kutokana na mgomo wa ma daktari nchini na uhamuzi wa serikari kusitisha leseni za madaktari wapatao takribani 300 na baadhi yao wameanza kuondoka nchini ili kutafuta mahala wanakosamini taaruma...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nashndwa kukuelewa raisi wangu,kwa nini umewekeza mamilioni ya shilingi kwa kunisomesha mwisho wa siku unaniacha na hang kama kondoo asiye na mchungi. >kwani ulikua na lengo gani nami? >kwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Na. EA.7/96/01/C/8 27 Julai, 2012 KUITWA KAZINI Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu waombaji kazi wa nafasi...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
REGISTRY CLERK UNDP Tanzania Office wishes to recruit a suitable Tanzania national to fill the position of Registry Clerk. Location: Dar es Salaam Contract: Fixed Term Appointment (FTA)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BRAC is looking for new members to join its East Africa Research and Evaluation Unit (REU), which is an in-house but independent facility supporting BRAC’s existing development programmes. The...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wanajamii natafuta kazi ya uhasibu. Mi ni fresh graduate, nina experience maana nilifanya field kwenye accounting department na nimewahi kuwa cashier kwenye associations za wanafunzi chuo. Kwa...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wadau, naomba kufahamu kwa mwenye uelewa wa hawa jamaa wa ticts kama wameshashortlist kwa ile nafasi ya export officer
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajamvi vp? naomba msaada kuna kazi zimetangazwa ila moja kati ya viambatanisho ni hii relevant writing sample na kwa kweli sina uhakika kama nimeilewa vizuri hivyo naomba ufafanuzi kwa anayejua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
nipo mtaan morogoro,kama kuna yyte aliye interested na kufanya kazi na mimi hususan biashara,tuchange mawazo tusake fund tuanze hima hima biashara au shughuli yetu wenyewe. mawazo ni mengi sana...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
NIDA pamoja na NIA yenu nzuri ya kuwapatia WaTZ vitambulisho naona hili zoezi la uandikishaji linawakera watu kwa kuwa wanapanga foleni ndefu tena juani kila siku wakikimbizana na deadline. zile...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau kupitia hapa hapa Jf nilipata Tangazo la kazi nikaaply, Last Month nilifanya Telephone Interview na jana wakanipigia simu kwamba nimefuzu kwa hatua ya kwanza hivyo Jumatatu nitafnya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wandugu nahitaji kijana wa kike au wa kiume kwa ajili ya kuniuzia duka la vocha na tigo pesa,ila after nitaweka na Mpesa,airtel money,vocha za jumla,max malipo,tigo rusha na vinginevyo.Mshahara ni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wana JF polen na swaumu! je naomba kufahamishwa kuna husiano gani kati ya mtu kutoitwa kwenye usaili na kutocertify vyeti mfano kwa wakili? au mtu kutocertify vyeti yaweza kumnyima fursa kuitwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BRAC is looking for new members to join its East Africa Research and Evaluation Unit (REU), which is an in-house but independent facility supporting BRAC’s existing development programmes. The...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Responsibilities: • Be responsible for the setting-out structures • Liaise with the client on matters pertaining to surveying • Ensure that survey instruments are calibrated according to...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu wadau, Naomba mwenye taarifa , anijuze kama interview kwa nafasi ya shipping manager -Tanzania Tobacco Processors Ltd (TTPL) kama ilifanyika au mchakato ukoje. Nafasi hiyo ilitangazwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari JF Nafasi za field katika hotel Arusha na Zanzibar Kama umemaliza kozi ya Basic Certificate in Hotel Management na hujapata field, tafadhari wasiliana nami kupitia visitatanzania@gmail.com...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
1 TANGAZO LA KAZI YA MUDA KATIKA MRADI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI YA MWAKA 2012 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inakamilisha maandalizi ya kufanya Sensa ya Watu na Makazi ambayo...
3 Reactions
89 Replies
16K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…