Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

i can not delete post
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakubwa ni bora ajira ingeenelea kutolewa kwenye kila taasisi maana usanii wa utumishi unatisha kwanza wao wenyewe hawana sifa za kumuiterview mtu ila wamejaa husuda tupu
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wana jf kuna kitu kinanisumbua katika interview nyingi kiasi kwamba naishia kujikanyaganyaga kujibu, ukiwa kwenye interview wanakuuliza "what is your weakness" unajibu vipi ili iwe correct...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mi kijana,umri miaka 24,nina shahada ya utawala wa jamii..nimehitim mwaka jana..hv sasa nataka nifanye kazi kama sales executive ktk micro lending moja hivi,je itaniongezea uwezekano wa kupata...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
kama kicha cha habari kinavyoeleza hapo juu. hii scholarship imetolewa na na TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY. kama wataka jua zaidi kuhusu hii scholarship na scholarships nyingine...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wale mlioomba kazi za mzinga vp mshaitwa interview? Nina dogo yuko bush na yy aliomba, sasa huwa ananisumbua kufuatilia magazeti kama ameitwa.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa yoyote aliyefanya mambo ya voice over IP, ni PM, kuna kazi.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF! Naomba radhi kwa kupost thread hii kwenye jukwaa hili. Ila nimatumaini yangu kuwa itawafaa na wengine wanaotafuta kazi hasa nafasi za masters . Fungua hii link kwa for more...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kesho nina nterview kwa simu kwa nafasi ya kazi ya kimataifa, ni position nzuri kiimaslahi na naahidi nikipata jf lazima nitoe laki mbili kama mchango wangu.
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Wandugu nimepokea msg kwenye simu inasema hivi "Habari, Ofisi ya (Diamite Inter Company) inapenda kukupa nafasi ya kipekee, Endapo utapendelea kutumia muda wako wa Ziada kuweza kujiongezea...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kazi za ukweli hizi hapa! Kampuni mpya ya kigeni inaitwa Lotus Valley LTD 1. Cashiers : Education, Graduate or diploma holder, preferably in economics, finance, business administration, social...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Naomba msaada kwa mwenye kujua namba hii ya tccl 0222128620 ambayo ni ya dar es salaam ilinipigia jana jioni, nimejaribu kuitafuta naona kama ni ya fax vile, nahofia nisije kukosa usahili nilikuta...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Jamani wadau wezangu naomba kuuliza ofisi za mfanyabiashara sabodo zipo sehemu gani???? Naomba kujuzwa tafadhali
0 Reactions
7 Replies
7K Views
nimefanya interview nyingi nyingine nimefanikia kabisa na kutumiwa mpaka sms za congratulations na kuwa wataniita after same days sasa miez cta cjaitwa jamani nifanyeje? No capital,?? No...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
if you have the talent and Knowledge on the Graphics and design, contact me at masehaule@gmail.com Please Attach your CV only.
1 Reactions
1 Replies
989 Views
Nafasi za kazi kwa walinzi 100 katika kampuni ya New Imara Security Co. Ltd. 06/07/2012 KAMPUNI YA NEW IMARA SECURITY CO.LTD INAHITAJI WALINZI 100 WENYE SIFA ZIFUATAZO; 1. 1. AWE MTANZANIA...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Job Description Forum Syd Africa 2012-06-20 Title: Project Support Officer for Eastern and Southern Africa Duty Station: Forum Syd Nairobi office, Kenya with frequent travels in the region...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapo vijana wengi mitaani wenye elimu nzuri tu na uadilifu kuliko hata waalimu. wako mitaani hawana kazi ya kufanya kwa sababu Serikali yao haiwatumii. Zipo kazi nyingi tuu kama vile za NIDA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ama kweli mwenye nacho ataongezewa na asiyenacho atanyang'anywa hata kile kidogo alichonacho hivi karibuni mh Pinda wakati akisoma bajeti ya wizara yake alisema zoezi la sensa litafanywa na walim...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Access vp watu waliofaulu interview zenu jamani tunasota nyumbani hatuna faraja cku zinapita tu tupeni hata tumaini basi tujue mtatuchukua lini.au ndio mmetutosa jamaniii????
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Back
Top Bottom