Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

kuna watu walikuwa wanauliza kuhusu wapi wanaweza pata scholarships. Nami nikaahadi kuwa ntawaletea page yenye scholarships mbalimbali zikiwemo ambazo ni mahususi kwa tanzania. Kutokana na ufinyu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wanajf!naomba msaada wenu, nina mdogo wng anatafuta kazi aina ya customer service au call center:elimu yake ni kidato cha sita ila akasoma na certificate ya mambo ya customer care+marketing...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Position: Sauti Moja-Tanzania Program Director Location: Longido, Tanzania (must be willing to relocate to Longido) Starting Date: September 1...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye kujua zilipo office za hao jamaa. Naomba anijuze.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
Kazi nyingi za Cabin Crew kwa watanzania. East Africa Job Board::Free jobs for all in Kenya,Tanzania,Uganda,Rwanda and South Sudan: CABIN CREW (40 POSTS) at Precision Air in Dar,Tanzania Asanteni
0 Reactions
20 Replies
15K Views
wale waliofanya usaili wa nafasi za uhakimu majina yametoka leo The Guardian june 22 kwa waliochaguliwa hongereni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimemaliza Bacholor of Science in Electrical engineering chuo kikuu cha Daar es Salaam hapo jana tar 22/06/2012
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimeckia standard chattered bank wanatafuta bank tellers, wanachoangalia ni certificate ya form 4 i.e uwe na atleast C za mathematics na english, kwa kuongeza possibility ya kuchaguliwa uwe na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi mbona hata siku 1 sija ona mtu au tangazo kwaajili wa waandishi au watangazaji? Au ndo hawanaga nafasi kwa jf?
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Ntawezaje kupata kazi yenye kudumisha utu wangu, kuwatunza wazazi wangu, na kuwasaidia ndg zangu wakati sikubahati hata kumaliza elimu yangu ya sekondari? Sina kazi natafuta kazi tafadhari...
5 Reactions
39 Replies
7K Views
Wadau nimeona tangazo lililotoka jana walioitwa katika usaili sekretariet ya ajira,mwenye uwezo wa kutuwekea link kwa sisi tunaotumia simu atusaidie,
0 Reactions
11 Replies
9K Views
jamani,zile nafasi za halmashauri ya wilaya ya ruangwa zilizotangazwa na utumishi walishaita watu kwenye usaili?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ivi zile barua tulizotuma za nafasi za kaz kwenye secketariati ya ajira ambazo dedline ilikuwa tar 8 mwez huu inteview yake ishafanyika?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Niaje wadau jana nilipigiwa cm na organisation moja inayohusika na maswala ya ajira nikafanye interview ya customer care kwa yeyote mwenye uzoefu na hii sekta plz help me on the posbo questions plz
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Niaje wadau wa jf? Kwa wale walioko Access bank nimesikia hii bank inatoa mikopo hata kwa dhamana ya gari,so nipo mkoa duty station home ni Da nina gari ndogo ya biashara i.e tax nataka kuiombea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watanzania wenzangu kuna wizi mpya unaotumiwa na kampuni inayotoa huduma kushirikiana na makampuni yetu ya simu za mnkononi inayojitangaza kupitia radio ya clouds FM, kwamba wanauza magari...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
WAKUU HABARI. Kiwanda kipo DAR. anahitajika mtu mwenye kujua chemistry atatakiwa kufanya kazi ya kupiga mahesabu how to mix to make some alloys. atafundishwa asiwe na hofu. ambaye yupo tayari...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau mgodi wa tulawaka wametangaza nafasi za kazi kama ifuatavyo - operators (post 10) - security (post 15) - supervisor (post 7) wenye vigezo kazi kwenu tumeni kwa email hii...
4 Reactions
36 Replies
8K Views
Kwa waliofanya manager interview ya PWC kuna yoyote aloitwa for patners interview.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
hizi benki jamani huwa csikii kabisa wakitoa nafasi au wenzangu mshasikia?
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom