Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

kuna yeyeto aliepata habari kuhusu interview ya TRA tarehe 25 jumatatu? msaada tafadhali
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wadau wa JF. Naulizia kama kuna mtu ana information zozote kama mashirika husika hapo kwenye title wameita watu kwa usaili maaana walitangaza kazi more than 2 months ago!! Au ndo tayari...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu bosi kaniita na anahitaji CV za garduates wa Mechanical Engineering Wanaograduate mwaka huu au waliograduate mwaka jana kwa level ya Diploma na zinahitajika kesho asubuhi so If there is any...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Hivi wahusika wa hii post walishaitwa au bado wakuu? Nijuzeni tafadhali
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau kuna watu tulifanya interviw ya kuongea ya treh 19 marchh 2012,wale wenzetu tumefanya nao wameitwa kwenye post zao bt sisi yetu ya investigation officer bado kweli iyo hakiiiiiiiiiiiii??????????
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu zangu me huwa siamini ushirikina hla kwa tukio hili naamini upo coz tuliitwa kwenye interview na jamaa akanambia twende kongowe kwa babu yake hili tufanikiwe maana interview ilikua 1 tu ya...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
new jobs International Capacity Building Coordinator Organizational Development Coordinator Press Accredition(ZIFF,Zanzibar) visit THE GLAMOUR JOINT for full details on these posts!!!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, I have a Dell laptop, 500gb, windows7, 4khz ram speed, with fully internet connections.....i pretty much confident to work for somebody who is busy, have always been having pending...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya kuapply tangazo lao la kazi huko Uranium Songea,fasta wakanipigia simu wakadai wapo kwenye mchakato wa kuita watu kwenye interview lakini tutangulize kwanza laki 2 kwa M-PESA...
9 Reactions
37 Replies
5K Views
Kazi nyingine za Cabin Crew, RwandaAir East Africa Job Board::Free jobs for all in Kenya,Tanzania,Uganda,Rwanda and South Sudan: Cabin attendants at RwandaAir in Kigali,Rwanda Asanteni
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HI. WANATAFUTWA AGRONOMIST AU AGRIC-GENERALIST WENYE EXPERIENCE YA COFFEE FIELD MANAGEMENT. PLEASE KAMA UNA NDUGU,JAMAA,JIRANI, AU RAFIKI ASISITE KUFORWARD CV YAKE TO hrd@enrichafrica.org or...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIP WADAU KUNA MTU YEYOTE MWENYE INFO KUHUSU NAFASI ZA STATE ATTORNEY INTEVIEW WAMEITA?:majani7:
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kuna nafasi za kazi kwenye stationery ya KARAGWE PRINTING TECHNOLOGIES LIMITED - KPTL. Tuma email ya maombi kwenye e-mail ifuatayo; karaprint@hotmail.com na kwa msaada wa maelekezo zaidi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Awe ana degree ya architecture uzoefu sio lazima -aweze kutumia programe ya autoCAD, archiCAD or revit Ni check kwenye ssalumqld@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wanapatikana popote utakapowahitaji including in schools. for primary and secondary schools. teaching english, swahili, history, civics, geography. ukiwahitaji ni PM.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
EMPLOYMENT OPPORTUNITY – FINANCE & ADMINISTRATIVE MANAGER ECHO exists to reduce hunger and improve lives through agricultural training and resources. It is a non-sectarian Christian NGO...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani hivi naruhusiwa kuapply nafasi za kazi zaidi ya tatu kama mwajiri ni mmoja na nafasi zimetoka siku moja lakini ni nafasi mbalimbali mfano hizi za utumishi nafikiri mmenielewa wakuu...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu mimi ni mtanzania mwenye umri wa miaka 26 nimehitimu shahada ya kwanza ya jinsia na maendeleo katika chuo cha kumbukumbu ya mwalimu nyerere mwaka 2011, ninatafuta kazi tajwa hapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NYUMBA inapangishwa ARUSHA maeneo ya DARAJA 2 NI SELF CONTAINED INA UMEME NA MAJI NA JIKO.BEI ni MAELEWANO.PIGA 0713988677.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Anahitajika mtanzania mwenye elimu ya kidato cha 6 na basic skills kwenye management, ambae anaweza kuongoza watu 10 kwenye biashara ya mtaji wa Million 10. Mshahara ni 450,000 kwa mwezi...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Back
Top Bottom