he following job opportunities have become available for a very well known, up-market establishment in Arusha.
CHEFS
1. CHEF de CHUISINE (HEAD CHEF):
You will be reporting...
We have a viable business which has shown a good trend as far as profitability is concerned, If you are interested to to invest as well as being a partner in a start up business with the capital...
mwl diploma holder na experienced anatafuta kazi ndani ya jiji la DAR. Uzoefu wake ni wa kutosha. Practicals ni mzoefu. Anahitaji kusoma masomo ya jioni na ndiyo maana anatafuta kazi Dar.
nina masters in intellectual property rights law. kwa yeyote mwenye informations kuhusu chuo kinachohitaji tutor wa intellectual property rights law anitaarifu.
kuna baadhi ya waajiri hasa ktk mashirika binafsi wanakwepa kuajiri wasichana, mi niliwah kusikia katika ofisi moja mkurugenzi akisema ukiajiri msichana graduate una hasara, akifanya kazi kidogo...
Salaam mpendwa natumaie upo mzima wa afya. NAOMBA kwa yeyote anae weza kunipa contacts za elimu utawala (afisa elimu) rungwe-wilayani/tukuyu. au kama una uelewa kamili wa rungwe kiujumla naomba...
Korea International Cooperation Agency/ Korea Rural Community Corporation
THE PROJECT FOR THE INTEGRATED RURAL DEVELOPMENT PROGRAM, PANGAWE
MOROGORO REGION OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
The...
a web designer is needed to manage a our website. he should have no less than to years experience and possess knowledge in the following areas
php
mysql
html5
data base programing
if intrested...
Wakuu, kwanza napenda nimshkuru Allah kwa kunijalia kupata Ajira.
Pili wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie niweze kupafaham huko Ukerewe kwa wale wenye kupajua coz nimepangiwa kwenda kufanya kaz...
Anatafutwa mtu kujaza nafasi tajwa hapo juu, atafanya kazi mikoa tofauti na kituo cha kazi ni dar, awe na uzoefu walau miaka miwili kwenye usimamizi wa miradi.
Awe amesoma Elimu ya chuo Kikuu...
Habari?,mfano kampuni au taasisi imetoa nafasi mbili au tatu ambazo UNAQUALIFY zote,je unaweza omba zote?,na ktk uombaje unatuma bahasha mbili au unatuma katika package moja lkn barua mbili...