Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Wakuu kama wote tunavyofahamu, juzi Jumatano majira ya saa 3 hivi usiku Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi ilitoa orodha ya Walimu waliopangiwa kwenye vituo vipya vya kazi. Ni jambo jema sana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
kama una diploma ya ualimu wa masomo ya physics.Biology na chemistry na uko Dar es salaam.ni pm
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Vp wadau poleni na majukum! hv hao jamaa wa nssf walishaita oral interview?:lol:
0 Reactions
33 Replies
7K Views
jamani wadau wenye tetesi zozote za nelson mandela atujuze. Wameshaita?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wenye ndugu ambao wanauwezo wa kuendesha magari watume maombi yao . Kuna nafasi nane za kujimwayamwaya Angalia Daily NEWS ya leo utapat vionjo vitakavyokufanya utume maombi yako karibu sana
0 Reactions
0 Replies
3K Views
nina bsc. agriculture general (SUA 2006) na masters in intellectual property (Africa University,zimbabwe 2010) nimeomba kazi wizara ya kilimo na kwingine kila nafasi zikitoka sijabahatika kupata...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nina ndugu yangu ana BSC.Agriculture General toka SUA,ana upper second na ana masters in intellectual property Rights toka Africa University (zimbabwe) anaweza kufundisha intellectual property...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale wenye shahada,Stashahada,astashahada(msingi) mnakaribishwa NYARUBANDA HIGH SCHOOL, 1.tuna olevel na alevel 2.pia kuna shule ya msingi 3.barabara rami tu,mwendo wa nusu saa kutoka town...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
  • Closed
NEW ESTABLISHED NGO IN TANZANIA ASSISTANT ACCOUNTANT- HEAD OFFICE:DAR - ADV -DIPL IN ACC/BCOM ACC - TALLY ACCOUNTING PACKAGE. IT MUST BE OBTAINED FROM RECOGNIZED INSTITUTION -EXPERIENCE ITS NOT...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
office administrator anahitajika awe na experience ya mwaka mmoja,awe na knowledge ya Accounting au Business Administration.kwa anayehitaji kazi tuma cv yako kwa jobsatjob@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani nimemaliza chuo cha Singida health laboratory assistant natafuta part time Dar es salaam please anayefahamu nazani mnajua wizara ya afya ina migogoro ya madaktari hivyo ajira kapuni kwanza...
0 Reactions
0 Replies
985 Views
Jamani mwenzenu nimemaliza Chuo mwaka jana mwezi wa 7. Nahitaji ajira inayohusiana na Law, Administration, Customer care, Policy Advocacy, Human Resource n.k. Anayeweza kunisaidia tafadhali namba...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Closed
Wana Jf,mimi ni miongoni mwa wale waliokosa mikopo ya kujiunga na elimu ya juu mwaka jana. Nilipangiwa chuo lakini sikupata mkopo,na kutokana na uwezo mdogo wa wazazi sikufanikiwa kujiunga na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
habarini wanajf ,nilikuwa na ulizia kwa mwenye taarifa za sumatra,wameshaita interview na mishahara yao ikoje? ka waasibu. asanteni!
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu wanaJF. Niwapongeze walim wote waliopata vituo vya kazi na niwatakie kazi njema. Nina ombi jaman kabla ya kwenda huko mlikopangiwa mtushike mkono na mtupeleke pale mlipokuwa mnafanya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau wa jamii forum vp post za JWTZ zinatoka lini upande wa profesional wadau tujulishane pia na magereza
0 Reactions
1 Replies
5K Views
wana jf wenzangu nakerwa na tabia ya baadhi ya waajiri wanaopiga simu. Unakuta ni mishare ya saa nne na nusu asubuhi unapigiwa cm kama hii. Nanukuu "haloo naongea na flani?napiga simu kutoka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
habari...! tanesco walitoa nafasi ya court clerk deadline ilikuwa trh29 november 2011 je vipi kwa mwenye updates washaita?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajf; msichana wa kazi anahitajika na sehemu ya kazi ni mwanza mjini. Kama kuna msichana unamfahamu mwenye tabia nzuri na anahitaji kazi za ndani basi tuwasiliane kwa pm ili nimwelekeze ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
mambo! jaman iv hizi kaz za uhakimu mahakama ya mwanzo zinatoka lin?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom