Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Elimu yangu ni DIPLOMA IN SECONDARY EDUCATION, Natafuta kazi yeyote iwe ya ualimu au kazi yeyote ambayo inaweza kuendana na level yangu ya elimu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kumekuwa na katabia ka waajiri walio wengi hasa wa mashirika/taasisi ya serikali kudai mwombaji aweke picha (mara nyingi picha moja au mbili) pindi wanapotangaza nafasi za kazi kwenye vyombo ivyo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba ushauri na muongozo katk hili. Mimi niliajiriwa km mwl. Wa shule ya msingi(gvt) na kuamua kujiendeleza hadi kufanikiwa kumaliza shahada ya uhasibu mwaka 2011,lkn ktk kipindi chote hicho...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ivi jamani kuna mtu anafahamu kuhusu ishsu ya kazi za nssf au kuitwa kwa usaili?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo ni gani?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
The Overseas Student Scholarship Fund is open to students living outside the European Union and the European Free Trade Area, who are liable to pay overseas tuition fees and whom the University of...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
HONGERA!KIBACHA COMPUTER TRAINING CENTER IMEKUCHAGUA KUINGIA KATIKA SHORT LIST YA WATU WATAKAO FANYA INTERVIEW TAR 1/12/2011.Baada ya kufanya uchambuzi wa kina, wewe umukua miongoni mwa watu...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari wanajamvi? Nimetokea kupapenda sana Dubai,Singapore na Malaysia na ninatamani kufahamu kuhusu upatikanaji wa kazi huko.. Nataka kufanya application ya kazi huko.. So, mwenye information...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
habari, me nmegraduate sheria juz juz tu, nlwah kusikia tetesi kwenye daladala kwamba vodacom pale mliman city kuna nafasi za kumwaga za customer care ila wanalipa mshahara mdogo, jaman kwa mwenye...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
AIRTEL EMPLOYMENT OPPORTUNITIES airtel is the 5th largest telecomms Company in the world. In Africa, airtel has over 42 million customers and aims to attract more than 100 million customers...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
i hope all of you are fine in here. just saying hellow to all
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samahani wana JF,naomba kujua kilipo hiki chuo cha KIBO TRAINING CENTER hapa Dsm!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman naomba mnijuze kwa yeyote mwenye taarifa, kuhusu zile tempo za NHIF, tulizofanyia Interview pale Kurasini - Ukumbi wa baraza la maaskofu, maana It's almost a month now tangu tufanye hiyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wana jf, kwa mtu anayejua mshahara wa mwalimu anaoanza nao pale anapotoka chuoni. (Bacherol of science with education). NAOMBA ANIAMBIE
0 Reactions
30 Replies
3K Views
UMOJA FOR YOUR CONVENIENCE Position1: Finance manager Education/Qualification: At least a bachelor degree Position: Operation manager Education/Qualification: At least a bachelor's Position...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natafuta kazi ya afisa mikopo katika institution yeyote au mabenk, ninao uzoefu wa kazi hiyo kwa miaka miwili, ninajua kusoma na kuandika kiswahili na kiingereza vizuri. Ninao uwezo na uzoefu wa...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
UDOM wameanza kuita watu kwa ajili ya Oral Interview, wameanza na madereva, list ya majina ipo kwenye website ya chuo The University Of Dodoma. ila kwa watu wa Accounts walishaajiri na watu...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Mkiziona mnishitue
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…