kwa wale wote mnaokaa daslam makampuni ya kuagiza mafuta yaliyoko kigamboni uwa yana ajira zisizotangazwa so
kama huna kazi submit cv yako kwenye maofisi yao kigamboni kazi huwa hazikosekan na...
daily newz hawatoi zile vacancy wanazotangaza kupitia gazeti lao online, labda ni site gani ambayo naweza ona kazi zitangazwazo kupitia daily newzz... kwa mfano kazi za the guardian nazipata...
Vehicle & Services Foreman at African Barrick Gold in Shinyanga
Process Foreman at African Barrick Gold in Shinyanga
Senior Process Geologist - Exploration at African Barrick Gold in Shinyanga...
Imetokea kwa ofisi flani...post 1 watu 1000, wamechambua wakapatikana watu 20, kamati ikadai inataka watu 15 tu kwa interview, wakaingia facebook, personal details kwa wote waliojiachia...
Hawa jamaa walitangaza nafasi fulani za maoperator na matechnician na duration ilikuwa one week mpaka sasa hawajaita watu kwenye interview mwenye data atumwagie.
Habari za saizi
Natafuta kazi za ndani mim ni msichana mwemye umri wa miaka 23 nimemaliza form four mwaka 2004 natafuta kazi za ndani awe ni mkazi wa dar awe tayari kunilipa 70-80 kwa mwezi si...
Ofisini kwetu wanaitaji kuajiri accountant mmoja,awe na experience ya mwaka mmoja hadi miwili,duty location ni dar,awe na degree au advanced diploma in accountancy.awe na typing speed...
Am hlw guyz,am new n dic bt halla 2 al ,am jst lukn 4r a job 2 du co f any1 has heard of smplc lukn 4r customer crz n companiez,telecommunication,banks plz contanct me n ma number 0718211364 dat...
Wana JF nawasalimu tena poleni na harakati za kuijanga nchi yetu ijapokuwa mafisadi wanaibomoa. Baada ya hayo naomba msaada wa location ya ofisi za Save the children Tanzania nisaidieni
Wadau, kama kuna ajira zinazohusiana na computer network, Data base Administrator na Computer programming naomba unijulishe. Kozi hizo zote nimesoma UCC- Dar es salaam . Computer network under...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.