Wakuu,Hivi hawa jamaa washaita watu kwenye interview?..kama bado then wataita lini?..kama kuna mtu mwenye info basi tufahamishane manake it has been a long time
nilibugi nikanunua moderm ya voda,ina cost sana especially kwa sis ambao hatuko kwenye system.Hivyo nilitaka kujuzwa kama inawezekana kuiflash ili niweze kuweka line ya Airtel coz wadau ndivyo...
Jaman wana JF, naombeni radhi kwanza kwa kuweka thread hii hum kwenye jukwaa la siasa, lengo langu ni kutaka angalau npate mawazo na updates kutoka kwenu kwani ni wengi mnaosoma jukwaa hili...
1
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENTS OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.Na EA.7/96/01/A/116 21st November, 2011
VACANCIES ANNOUNCEMENT
The Public Service Recruitment...
Ndugu wana jf,kituo cha elimu cha M & S kilichopo Chang'ombe maduka mawili jijini Dar es salaam kinahitaji mwalimu wa sekondari wa masomo ya sayansi yaani mathematics,physics na chemistry kwa...
Requirements:
Master Degree (Economics) or equivalent qualification
Job Description:
Assist in preparation and implementation of Bank's strategic and business plan
Apply To:
Managing Director...
wapendwa..
Naomba kujuzwa kuhusu kazi tajwa hapo juu (baada ya kusumbuliwa na maswali bila majibu)...
-mazingira ya kazi
-idadi ya masaa ya kazi
-malipo yake
-aina ya mkataba
-kwa kijana wa...
Ndugu wanajamii forum naamini kesho au keshokutwa kama sio mimi au ni wewe tutakuwa katika nyasifa mbalimbali za uongozi hivyo pamoja na kutoa maoni kwa viongozi waliopo itakuwa ni nafasi kwetu...
Ref.Na EA.7/96/01/A/116 21th Nov, 2011
The Public Service Recruitment Secretariat was established in accordance with Section No. 29 (1) of the Public Service (Amendment) Act, No. 18 of...
:embarassed2:Hivi hawa TaESA - Tanzania Employment Agency, Tanzania Employment Services Agency. Ukiingia kwenye website yao, utasikitika mno, hawaja post nafasi za kazi mbali mbali, hakuna post za...
1THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENTS OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.Na EA.7/96/01/95 20th October, 2011
VACANCIES ANNOUNCEMENT
The Public Service Recruitment...
Looking for Generator agent sales supply in Dar es Salaam, Tanzania.
We are looking for agent individual or company to supply generators in Tanzania,
The Generators are being shipped direct...
WANDUGU NATUMAIN MKO POUWA NATAFUTA KAZI YA UDEREVA LESEN CLASS A.B.D.E CHETI CHA VETA NA N.I.T UZOEFU MIAKA 5 NAPATIKANA DAR KWA Email davideshao@yahoo.com
kuna tetesi nimezipata kuwa Udom baadhi ya post wameanza kazi,inasemekana huo mchezo umeshtkiwa Baada ya Mtoto Mwenye hotel 56 karibu na bunge aliemaliza St john,kuonekana anaenda kazin,
Mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.