Kuna part time job kwenye shirika moja la kimarekani hapa Arusha, wanahitaji mhasibu lakini lazima awe msichana. NGO yenyewe inasupport wasichana. Tafadhali ni-PM.
I am a university of dar-es-salaam b.com graduate,i specialized in accounting......done with school and now searching for an opportunity to work.please incase u need an accountant or u hear of...
mambo! jaman wadau me nimemaliza chuo sheria mwaka huu nataka kwenda uhamiaji maana ajira ngumu, kwa anayejua posts ztatoka lin na jinsi ya kuaply naomba anijuze... thanx
from !http://www.cocoricotz.com/JOBS.htm!
ELECTRICAL SUPERVISOR
Education/Qualification: Holder of university degree
Detail: Daily News 1 December 2011...
from "http://www.cocoricotz.com/JOBS.htm"
IRINGA UNIVERSITY COLLEGE
Position:Deputy provost for Administration
Education/Qualification: PhD Holder with at least 10 years of experience in...
kwa anejua kazi ambayo imetangazwa wanataka watu waliograduate chuo regardless of which course atujulishe aisee...zile za qualification:bachelor degree...tupeni hizo vitu
habari..! jaman office tajwa hapo juu ziltowaga nafasi starmedia ilikuwa ni company secretary,st.john legal officer,travel society of tanzania ilikuwa ni executive secretary na tanesco ilikuwa ni...
Wadau nimekuwa nikitafuta ofice za hawa jamaa kwa muda mrefu na kila nnaye muuliza ananielekeza DAWASCO Iliyoko posta ambao ni sehemu tu ya DAWASA ila cjafanikiwa kupata ofisi za DAWASA nackia...
Wakubwa shikamooni vijana wenzangu habari za jioni.Mi mwenzenu ninashida na kazi ile mbaya nimejaribu kutuma maombi yangu sehemu mbalimbali ila cjaona mafanikio na mimi ni mtoto wa kwanza ktk...
UNICEF TANZANIA TERMS OF REFERENCE FOR A CONSULTANT FOR Development of an Emergency Communication Strategy
Type of Contract: Special Service Agreement...
The Global Campus 21 E-Academy enables professional expertise, managerial skills and leadership experience to be gained, extended and passed on in developing countries by means of new learning...
Hallo wanajamvi sisi ni vijana wa wilaya ya Ngara mkoani Kagera tunaomba yeyote mwenye kuweza kutupa contacts za meneja uhusiano wa serengeti breweries kwa jina la Teddy Mapunda ili tuweze...
wadau, mi na washkaj zangu tumesajili NGO home affairs mwaka sasa umeisha. baadh ya members nilionao ni wazembe yaan they dont care, hata hawaulizii tunendeleaje.. hii NGO ni environmental and...