Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Jamani kuna mtu kaipata short list ya walioitwa kwenye inteview ya udom?maana jana tumeambiwa itatolewa leo kwenye magazeti.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
KaziLink.: Resident Engineer.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi nimesomea mambo ya secretary na nimeshafanya kaz katika taasisi ya fedha nikawa kama cashier kwa miaka 3 na miaka 2 nilikuwa secretar so naujuzi wa miaka 5 katika kazi, computer naijua vizuri...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta opportunities zilizoko mbeya, familia imehamia mbeya and im looking for available opportunities around. I can handle IT, training, marketing,project management, i have a lot of...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KaziLink.: HIV/AIDS Senior Technical Experts - Tanzania
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BUSINESS SKILLS WORKSHOP WHEN: Friday,14th October 2011TIME: 03:00PMto 06:00PMWHERE: HolidayInn Hotel, City Centre, Dar...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF? Minimgeni ktk hili jukwaa naomba mnipoke kwa mikono miwili nami nijifunze na kuhabarika humu JF. Hivi kuna tofauti gani kati ya haya maneno mawili "AJIRA(EMPLOYMENT)" na...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Mimi ni mkazi wa Dar es salaam ni mjasiriamali ambaye nimebobea katika fani ya welding,nawatangazia wote wanaohitaji grilles na mageti kwenye nyumba zao na mahofisini, contact zangu ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nisiwapotezee mda. Nipo "juani" mda mrefu sasa. Nimesikia mwezi uliopita tar 18 gazeti la mwananchi kulikuwa na tangazo la kazi inayolingana na professional yangu na deadline ni ijumaa this week...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu heshima kwenu!. Mimi ni graduate na nimekuwa nikituma applications nyingi tu sehem tofauti tofauti kuomba kazi lakini sijawahi hata kuitwa tu kwenye interview,sasa najiuliza tatizo nini?,au...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
eti wana jf, mi nataka kufahamu kama udom washaita mana nasikilizia naona kimya, vp wenzangu kuna tetesi zozote za huko udom? kulikoni??
0 Reactions
9 Replies
10K Views
Naomba kama kuna mtu yeyote ashaitwa kwa ajl ya interview pale world vision kagera zone anitaharifu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiko Kigamboni Mwongozo kinaukubwa wa Heka 2.67 au Eka 6.60 au Mita za mraba 26700,kinafaa kwaa ajili ya kujenga Hotel kwa sababu kinaangalia bahari ya Hindi,Mwongozo ni wastani wa Kilometa 15...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF, Nchi yetu imekumbwa na tatizo kubwa la kimfumo au ndio ile tunaosema Ombwe la Uongozi,Kuna Rundo la hawa wenzetu weupe waookuja kwa migongo ya uwekezaji na wakijiita maexpert lakin wengi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Located at kIGAMBONI Mwongozo,Temeke Municipality,measuring 2.67Ha/6.60Acre/26700Sqm,it has a Title deed. Mwongozo is 15Kms from Dar es salaam city centre,The plot is suitable for Hotel site...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
natafuta graphic designer mwenye uzoefu na viwanda vya printing. wasiliana na no. 0652 046 289.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watanzania tunalalamika sana inapokuja kwenye swala la soko la ajira, nashukuru jamvi hili limetoa kipaumbele kikubwa kabisa kwenye swala la kupashana habari juu ya nafasi za kazi mbali mbali...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Siku chache zilizopita niliitwa mahali kwa ajili ya interview! Kiukweli, hii kwangu ilikuwa ni interview ya aina yake ambayo sikupata kuishuhudia tangu naanze mambo ya kusaka ajira! Pamoja na...
6 Reactions
29 Replies
4K Views
jamani yeyote mwenye info kuhusu nafasi za kazi aniambie. hata kama ikiwa ni ya mchongo poa. as long as i will earn my salary. BUT IT should follow under my career. i have bachelor degree in...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
wakuu mchangamkie hiyo.
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…