Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

kweli ajira zimekuwa ajira hapa bongo.Hivi nyinyi PSPF kwanini msumbue watu ikiwa nafac zimejaa?eti mnauliza 45/9?,245 -175??,253 +130??, achani hizo kama nafac zimejaa msisumbue watu bure .
0 Reactions
6 Replies
4K Views
hivi hii programme walotoa hawa SBL ya GRADUATE PROGRAMME (PAN AFRICA EARLY CAREER PROGRAMME) una-apply vp? coz hawahitaji u2me CV na cover letter kwa email wala address msaada tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kazi mbili kwa akina dada natafuta; 1) mhudumu wa baa wa kike 2) mpishi wa kike sifa awe na umri usiozidi miaka 23 mchapa kaziajue kusoma na kuandika - uzoefu sio muhimu. - piga 0714148504
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa anaejua kama serengeti breweries limited wameisha waita waliobahatika kusomeshwa nao? Utujuze
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Solved.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za leo WanaJF. Kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu kuulizia kama ofisi/kampuni/shirika fulani limeshaita watu kwenye usaili/interview au kazini kupitia JF,na majibu ambayo wamekuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KaziLink.: Chief Accountant.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KaziLink.: Manager – Marketing (Agro).
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KaziLink.: Civil Engineers / Highway Technicians (4 Posts). KaziLink.: Weighbridge Operators (26 Posts).
0 Reactions
0 Replies
3K Views
natafuta kazi ya kufundisha vyou vya diploma na cheti nimesomea BED art [history & education] nipo morogoro
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau naomba mwenye info za uhakika kuhusu pale SSRA maana nilituma maombi naona kimya sasa sielewi kama walishaita na je walishaita nafasi zote? mimi niliomba nafasi ya PR
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimetumiwa katika barua pepe.. nnaimwaga kama ilivyo...!! Tafadhali soma maelezo hapo chini na mawasiliano yote yapelekwe kwa contacts zilizoonyeshwa hapo. ---------- Forwarded message...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wana JF hivi Sekretariat ya ajira walishaita interview,,kwa zile kazi walizotangaza july,Tanzania Parliamentary Comission ilihusika ndani hzo ajira,,na TRA vip wameshaita..maana kote sielewi whts...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Looking for a webdesigner, Not just a web designer but a good one, kama vipi nitumie PM tufanye mchakato.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jf hv sekretarit ya ajira walishaita interview,walitangaza july na ndan yake Tanzania Parliamentary Commission ilikuwa moja wapo iliyotoa vacancy,,na tra je vp wameita?.nijulishen plz
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ni muda mrefu tangu tuanze kutoa lawama juu ya WAZEE ambao wamwshika madaraka kuwa hawatuwezeshi vijana hasa katika kutujenga ili tuweze kukubalika katika soko la ajira. Hivyo natoa rai kwa vijana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nimeona kazi ambazo humu sijaziona hivyo gonga mwananchi
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Nataka kujiunga na Chadema ili kukipanua chama hiki.Nimeisoma katiba ya Chadema, CUF na NCCR, lakini nimeona Chadema ni bora zaidi.Nimejaribu kuwasiliana na watu kama Zitto Kabwe bila mafanikio...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Na Mwandishi Wetu, Iringa WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Diodorus Kamala, amewataka wasomi nchini kujiamini na kujiandaa kufanya kazi katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
http://tanzania-un.org/dynamicdata/data/docs/kazi%20foreign%20-%2014.2.08.pdf Jamani huyu web master wahii webu mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa kalala usingizi au nikotokuwa makini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…